Galapagosi
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 2,848
- 2,637
Mkuu Kubaliana Na Hali Tu Mbona Hakuna Shida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana nywele kabisa halafu anajiita upara. Wenye vipara wasemeje.Dawa ya upara ni kuukubali, unapiga dongo, unapaka mafuta vizuri,
Zikichomoza unakwangua, gfresh watu watazoea kabisa hakuna mtu atakushangaa
Ila hapo wewe bado sema tu utoto mwingi
Piga nyeto kila siku asubuhi halafu siriba lile bao kwenye utosi.Upara unaanza hivyo ndomana nimekuja labda nawezakupata ishauri namna ya kukaniliana na upara kabisa
Sijakataa lkn ww umekaa mubabaUkiwa na upara tayari mbaba, kuna watu wana 23 ila wana upara
Piga nyeto kila siku asubuhi halafu siriba lile bao kwenye utosi.
Kama vile hizo mbegu zinaweza rutubisha yai la mwanamke kupelekea mimba basi zitarutubisha utosi wako na kufanya nywele zimee zaidi.
Hiyo dawa ni nzuri maana unapata raha ya kufika mshindo pamoja na kutibu uwaraza.
Kila la heri.
Mhhh sijasema hivo usiniwekelee maneno tafadhali ninaheshima.Hata kama mbaba kwaiyo huwez kunipenda kisa upara?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni mwentekiti wa chama Cha wenye upara Tanzania(chaupata?
Kwanini umekuja kutusanifu huku?
Vipara hadi spelling unakoseaKuna wanawake wanapenda vibara , hope wako kwa ajili yetu
[emoji23][emoji23][emoji23] dahChomeka kichwa kwenye debe la unga wa ngano.