Usijali sie ndo tunataka hivo hatutaki wavulana.mbinu gani naweza kutumia ili kuridisha nywele zangu.
Watu waliniambia nitakuwa na upara lakini ni kitu sikujali sana, saiv naona kabisa nina upara.
Mwenye mbinu yeyote anawezakusaidia kurudisha nywele zangu ajitokeze kabla sijachukua maamuzi ya kukubaliana na hali yangu.View attachment 2877706
Huo ndo upara wangu
Sijakuelewa hapo na huo upara π€¨ππUsijali sie ndo tunataka hivo hatutaki wavulana.
Unique Flower haya kazi kwako
Si unataka mubabaz wwπππSijakuelewa hapo na huo upara π€¨ππ
Ndio ila sio mwenye uhafifu wa milo anautapia mlo aku watamridhi kiparaSi unataka mubabaz wwπππ
ππππNdio ila sio mwenye uhafifu wa milo anautapia mlo aku watamridhi kipara
nimelia sana πΏπ’Kama una zaidi ya 40yrs ni kawaida jikubali.
Ila kama upo chini ya umri huo ni huzuni.