Kuna siri gani, kwanin wenye nywele nzuri chapu zinapotea katika ramani?Ukubali tu hakuna namna.
Ulipokuwa mdogo ulifurahia kuwa na nywele nzuri ila sasa ni huzuni, wenye kipilipili nywele zao zipo imara.
unakatwa Na WachawiPiga nyeto kila siku asubuhi halafu siriba lile bao kwenye utosi.
Kama vile hizo mbegu zinaweza rutubisha yai la mwanamke kupelekea mimba basi zitarutubisha utosi wako na kufanya nywele zimee zaidi.
Hiyo dawa ni nzuri maana unapata raha ya kufika mshindo pamoja na kutibu uwaraza.
Kila la heri.
apiaUsijali sie ndo tunataka hivo hatutaki wavulana.
Unique Flower haya kazi kwako
Eeeh eeeh aaah aaah uuh uuuh ooo oooapia
Pole Sana, tafuta mafuta ya parachichi utumie Kwa ajili ya nywele zako, yatasaidia kusaidia katka uotaji wa nywele zlizopotea. Jitengenezee mwenyewe kama inawezekana itakua PoA zaidi. Angalia YouTube Kuna video kibao za Namna ya kutengeneza hayo mafuta.Mbinu gani naweza kutumia ili kuridisha nywele zangu.
Watu waliniambia nitakuwa na upara lakini ni kitu sikujali sana, saiv naona kabisa nina upara.
Mwenye mbinu yeyote anawezakusaidia kurudisha nywele zangu ajitokeze kabla sijachukua maamuzi ya kukubaliana na hali yangu.
View attachment 2877706
Huo ndo upara wangu
Mbinu gani naweza kutumia ili kuridisha nywele zangu.
Watu waliniambia nitakuwa na upara lakini ni kitu sikujali sana, saiv naona kabisa nina upara.
Mwenye mbinu yeyote anawezakusaidia kurudisha nywele zangu ajitokeze kabla sijachukua maamuzi ya kukubaliana na hali yangu.
View attachment 2877706
Huo ndo upara wangu