Naomba mbinu za kupata maduka mengi ya rejareja ya vipodozi kwa ajili ya kuwauzi vipodozi kwa bei za jumla

Naomba mbinu za kupata maduka mengi ya rejareja ya vipodozi kwa ajili ya kuwauzi vipodozi kwa bei za jumla

Ndiyo eneo nalozeekea hili

Ni biashara nzuri hii ukijua kanuni

1. Jiepushe na vipodozi kemikali hasa TBS walozuia

2. Jua aina za ngozi na changamoto zake ili uwashauri wateja kiuhalisia

3.mtaji kuanzia milioni 3 hadi 5 kukupa faida ya milioni kwa mwezi ni kawaida

Kwa ushauri bure piga 0713 039 875
Mambo vip mkuu, Naona hii thread Kwa Sasa. Anyway Mimi Nina shida hii hii. Kwa Sasa nipo South Africa, huwa nakuja mara mbili au mara Moja kila Mwezi, na hapa nakuwa na truck nazisimamia kutoka Johannesburg hadi Dar Moja Kwa Moja. Tumekuwa tunauza Rolls on za Nivea nk Nk, nifikiri kufanya hii vipodozi Kwa kuanzia Mdogo mdogo, nahitaji msaada zaidi wa Masoko lakini pia aina Gani ni fast moving kutoka South Africa? Nitashukuru Mzee Kwa mchango hu. (Kwa truck hizi z 34 tone) Huwa nibidhaa nyingine tu, ila Mimi huwa Nina Uhuru wa kupakia chochote. ASANTE.
 
Kwanza point of correction kusema unataka kusambaza vipodozi aina zote siyo kweli

Labda Kama ni dalali na siyo mmiliki wa duka la jumla au importer.

Nipo kwenye cosmetics ili uweze kusambaza vipodozi kwa bei nafuu inabidi uwe unaingiza mzigo mwenyewe, uweze kushindana na soko.
Lakini pia unatakiwa uwe specific kwenye aina ya vipodozi unavyotaka kusambaza.

So far vipodozi kutoka
Congo/zambia
South Africa
Nigeria
Uk
USA

Ndo vinavyouzika zaidi, je unaweza kuimport aina zote kutoka kwenye hizo nchi?
Kama unaweza Karibu sokoni.
Mimi Nina mzigo upo njiani kutoka South Africa, Bb Relaxer kit. Any one interested WhatsApp 0758121728
 
Wataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya kuwafanyia delivering ya vipodozi wanavyokuwa wanahitaji. Pia locations ambazo ninaweza kupata maduka mengi ya vipodozi ya rejareja

Natangiliza shukrani

Nilipo DSM
Anza.Hii ni biashara nzuri
 
Wataalamu wa biashara ya vipodozi, ninaomba kusaidiwa mbinu mbalimbali za kupata maduka ya vipodozi vya aina zote yanayo-uza rejareja na mbinu za kuwafanya wawe wateja wangu kwa ajili ya kuwafanyia delivering ya vipodozi wanavyokuwa wanahitaji. Pia locations ambazo ninaweza kupata maduka mengi ya vipodozi ya rejareja

Natangiliza shukrani

Nilipo DSM
Fungulia ndugu zako kila kona maduka rejareja halafu wao wawe wanakuja kwako kununua duka lako la jumla

Mbinu hiyo hutumiwa na wakinga na wachaga
 
IMG_20241126_084307.jpg
 
Mambo vip mkuu, Naona hii thread Kwa Sasa. Anyway Mimi Nina shida hii hii. Kwa Sasa nipo South Africa, huwa nakuja mara mbili au mara Moja kila Mwezi, na hapa nakuwa na truck nazisimamia kutoka Johannesburg hadi Dar Moja Kwa Moja. Tumekuwa tunauza Rolls on za Nivea nk Nk, nifikiri kufanya hii vipodozi Kwa kuanzia Mdogo mdogo, nahitaji msaada zaidi wa Masoko lakini pia aina Gani ni fast moving kutoka South Africa? Nitashukuru Mzee Kwa mchango hu. (Kwa truck hizi z 34 tone) Huwa nibidhaa nyingine tu, ila Mimi huwa Nina Uhuru wa kupakia chochote. ASANTE.
Please hit my dm
 
Biashara ya vipodozi Ina faida Sana na mzunguko pia upo.

Njia ya kupata royal clients before haujasambaza mzigo tembelea madukani uone aina gani ya bidhaa zinatoka .


Ukimaliza unazungumza nao kuhusu kuwaletea Mzigo na kuwasambazia Mzigo .

Price
Quality
Affordability

Mfano .....

Itaemdelea.......
 
Back
Top Bottom