Anzamdogi mdogo then build your pace/ intensity as days go by.Mkuu..heb nidadavulie hapa...mfano mtu ndo umeanza zoez huna muda mref...ukifanya heavy routine ya zoez ni nzur au si nzur kwa afya ya moyo wako?
Yeah nilikuwa naspend hours researching what, why & how to eat.Intermittent fasting uki combine na Keto halafu usijue mpangilio wa vyakula atachoka mno.
Ningeshauri aanze na fasts za 8-12 hours huku akiongeza mdogo mdogo halafu zile fast windows zizodi Kupungua then anaweza kuchagua OMAD( One Meal A Day) ama keto whichever suits him.
Maana...gym wananikimbiza sana aisee.had huwa nahis kufa kufa..kizungu zungu had kichefchef....hiv walimu wa gym wana akili kwel..watakuja kutuua aiseeAnzamdogi mdogo then build your pace/ intensity as days go by.
Kwani umeamkaje?
Kwani umeamkaje?
Autophagy benefits zinaanzia baada ya 24hrs of fasting.Intermittent fasting uki combine na Keto halafu usijue mpangilio wa vyakula atachoka mno.
Ningeshauri aanze na fasts za 8-12 hours huku akiongeza mdogo mdogo halafu zile fast windows zizodi Kupungua then anaweza kuchagua OMAD( One Meal A Day) ama keto whichever suits him.
Sawa, but lazima uanze mdogo mdogo huku unafanya extended fasts.Autophagy benefits zinaanzia baada ya 24hrs of fasting.
So atleast afunge kuanzia 18hrs&above.
Good Job.Mi nilianzaga fasting ya 18hrs straight,njaa inaletwa na kula vitu vya sukari/wanga kama mikate,wali,ugali etc mtu akiacha kula hivyo njaa hasikii kamwe.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Hii ni bila mazoezi bila shaka, Ila tatizo hapa utakuwa dhaifuMi nilianzaga fasting ya 18hrs straight,njaa inaletwa na kula vitu vya sukari/wanga kama mikate,wali,ugali etc mtu akiacha kula hivyo njaa hasikii kamwe.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
So far so good madame.Good Job.
How is the going?
Labda nikuambie kitu kimoja kwamba Mazoezi hayajawai saidia mtu kupungua uzito moja kwa moja... Mazoezo yanafanya zoezi zima la kupungua mwili kuenda kwa haraka.... Uzito mkubwa au mwili kuongezeka kunasababishwa na Hormones na hormones pekee ndizo zitakazo kufanya upungue.Nashukuru mkuu umeniongezea kitu, sitaki kutumia dawa, nahitaji nipungue kwa mazoezi tu, nitatumia warm water with lemon, kila asubuhi!
Dhaifu how?Hii ni bola mazoezi bila shaka, Ila tatizo hapa utakuwa dhaifu
Good for you.So far so good madame.
Lost 18kg in 3 months.
"Insulin resistance".Labda nikuambie kitu kimoja kwamba Mazoezi hayajawai saidia mtu kupungua uzito moja kwa moja... Mazoezo yanafanya zoezi zima la kupungua mwili kuenda kwa haraka.... Uzito mkubwa au mwili kuongezeka kunasababishwa na Hormones na hormones pekee ndizo zitakazo kufanya upungue.
kwa kifupi kwa uzito huo ulionao unaugonjwa(metabolic disorder) uanoitwa Isulin Resistance... Lazima utibu ugojwa huu kwanza na kisha mengine yote yatafuta......
Ngoja niishie hapa kwanza
Kwa hiyo metabolic disorder ni slow metabolism?"Insulin resistance".
Big up bro,unajua unachokiongea kwa 100%.
Say hello to Dr. Jason Fung.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Intermittent fasting? Nope. Niliacha because kuna mahali nilikosea ngozi ikadhoofika mno.I appreciate.
Bado unafanya fasting?
Tunautibu vp mkuu!?Labda nikuambie kitu kimoja kwamba Mazoezi hayajawai saidia mtu kupungua uzito moja kwa moja... Mazoezo yanafanya zoezi zima la kupungua mwili kuenda kwa haraka.... Uzito mkubwa au mwili kuongezeka kunasababishwa na Hormones na hormones pekee ndizo zitakazo kufanya upungue.
kwa kifupi kwa uzito huo ulionao unaugonjwa(metabolic disorder) uanoitwa Isulin Resistance... Lazima utibu ugojwa huu kwanza na kisha mengine yote yatafuta......
Ngoja niishie hapa kwanza