Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
"Insulin resistance".
Big up bro,unajua unachokiongea kwa 100%.
Say hello to Dr. Jason Fu
Mkuu watu hawajui... Unakuta watu wanakimbia na kujichosha bure tuu...Mwisho wa siku tatizo lina baki pale pale au lina weza ongezeka zaidi.. Maana over exercise especially mazoezi ya cardion ndio yanaongeza stress hormone (cortisol) kwa wingi... Cortisol ikiwa kwa wingi inashirikian na ndugu yake Insulin inasababisha more insulin resistance matokeo yake more belly fat..."Insulin resistance".
Big up bro,unajua unachokiongea kwa 100%.
Say hello to Dr. Jason Fung.
Hilo ndo swali... Ni mada ndefu maana lazima upate elimu ya baadhi ya vitu...Tunautibu vp mkuu!?
Mimi nilianza kupunguza unene na uzito 2018......mabadiliko nimeyaona mwaka huu. Itakuchukua muda sana. Kikubwa ni kutokukata tamaa.Habari zenu, mimi ni mrefu wa sentimeta 183, awali nilipima nikawa na kg 104. Uzito huo ulinitisha nikaamua kuanza mazoezi na kubadili life style. Nimeacha kutumia soda, maana hapo kabla kila siku nilikuwa Lazima ninywe soda/grandmalta, pia nimepunguza kiasi cha ulaji. Jioni huwa nakula matunda tu!
Kila wiki lazima nikimbie mara nne au mara tano ambapo kwa siku nakimbia kilomita 8 hadi kumi! Nimefanya hivyo kwa mwezi mmoja lakn nimepunguza kilo tatu na nusu tu!
Nifanyeje niweze kupungua kwa haraka zaidi?
Tunaomba elimu mkuu.Hilo ndo swali... Ni mada ndefu maana lazima upate elimu ya baadhi ya vitu...
Wataalam mnatuchanganya jamani!...Mkuu watu hawajui... Unakuta watu wanakimbia na kujichosha bure tuu...Mwisho wa siku tatizo lina baki pale pale au lina weza ongezeka zaidi.. Maana over exercise especially mazoezi ya cardion ndio yanaongeza stress hormone (cortisol) kwa wingi... Cortisol ikiwa kwa wingi inashirikian na ndugu yake Insulin inasababisha more insulin resistance matokeo yake more belly fat...
Huyu sioni kama ni mtaalamu! Maana Ana weka puzzle halafu akiombwa atupe elimu anazinguaWataalam mnatuchanganya jamani!...
Mara tunashauriwa tufanye mazoezi ili kudhibiti uzito wa mwili mara tena mazoezi hayasaidii lolote!.
Ngoja tusubirie pengine atakuja kutupa elimu,inawezekana yupo kwenye mihangaiko ya kutafuta mkate kwa sasa.Huyu sioni kama ni mtaalamu! Maana Ana weka puzzle halafu akiombwa atupe elimu anazingua
Sijapata muda tuu.....Huyu sioni kama ni mtaalamu! Maana Ana weka puzzle halafu akiombwa atupe elimu anazingua
Yeah, nimepunguza miloPunguza kula na kama huna njaa usile
Usifanye hivyo Mkuu utaulazimisha moyo kusukima damu kwa kiwango kisicho sahihi.
Fanya hivi Amka alfajiri saa 11.30kunywa maji glass 2 Kisha BAADA ya DK 10 Anza zoezi la Kutembea haraka haraka kwa muda wa dk 30.ukirudi home baada ya kukoga kunywa juisi ya giligilani ya majani glass 1.
Fanya hivyo kwa wiki 3 Kisha leta mrejesho . Vinginevyo tukupe dawa mbadala Ni mwezi 1 TU mafuta na minyama yooote kwisha ila ujiandae kupunguza NGUO zako
Asante kwa kushirikiNenda kachukue "MKOPO BANK" halafu weka nyumba unayoishi kama dhamana, utakonda haraka sana kuliko hizo diet unazo fanya (Zinakuchelewesha).
Mleta mada chukua muongozo huo hapo...Endelea na hii discipline, mwili kupoteza uzito mkubwa ghafla si vizuri pia. Endelea kukimbia kusaidia ngozi kuadjust na uzito unaopungua. Ukipungua ghafla utaishi a kuwa na nyama uzembe tumboni na nyuma ya mikono.
Mkuu watu hawajui... Unakuta watu wanakimbia na kujichosha bure tuu...Mwisho wa siku tatizo lina baki pale pale au lina weza ongezeka zaidi.. Maana over exercise especially mazoezi ya cardion ndio yanaongeza stress hormone (cortisol) kwa wingi... Cortisol ikiwa kwa wingi inashirikian na ndugu yake Insulin inasababisha more insulin resistance matokeo yake more belly fat...