Ingekuwa inamsaidia ktk shughuli zake (kwa maana inazalisha) asingeitia sokoni kwa shida ya 1m!inawezekana gari inamsaidia katika shughuli zake za kila siku, hivyo basi kumshauri kuuza gari itakuwa ni kumrudisha nyuma ndugu yetu!
Mkuu hujasoma vzr, yeye hataki kukopeshwa kwa riba, unataka umpe million moja arudishe milioni moja
Hahahaha,kwakweli aisee!Maana si kwakusema huko hana njaaHeeee huna njaa harafu unataka kukopa hela na gari unalo eti huuzii njaa?
Katakata hilo gari uweke dukani,si huna njaa!!
Aliweke dhamanainawezekana gari inamsaidia katika shughuli zake za kila siku, hivyo basi kumshauri kuuza gari itakuwa ni kumrudisha nyuma ndugu yetu!
Huo unaotaka si mkopo ni msaada. Na duniani kuupata ni vigumu. Weka gari dhamana chukua pesa. Kama uko tayari ni PMMi naweka moyo wangu kwako, sio kutesana kwa terms and condition na sihitaji mtu anayetaka kuja kufanya biashara ya kunikopesha.
Mkuu nime pm nijibuHuo unaotaka si mkopo ni msaada. Na duniani kuupata ni vigumu. Weka gari dhamana chukua pesa. Kama uko tayari ni PM
huyo hataki mkoppo wa riba anataka umuazime bila riba we BAVICHA vepeeUko wapi?kama uko dar sema Nku connect na mtu anayetoa mkopo kuanzia Mln 1,hadi Mln 10 ila dhamana muhimu kama ni gari,na kifaa Chochote chenye thamani ambacho utakiweka dhamana ili upewe mkopo
Ova
Hehehe we Mzee upo!huyo hataki mkoppo wa riba anataka umuazime bila riba we BAVICHA vepee
Mkuu mambo vipi nime Ku pm naomba unijibu pm yanguHehehe we Mzee upo!
Labda amkope ndg yake huko atapata bila interest
Ova
Mkuu NimekujibuOk
Ova
Si umemskia mwenyewe!we fanya hivyo mkopo utapata siku moja tu ukishakidhi vigezo vya mkopoMkuu Nimekujibu
Sasa kama hauna njaa, unataka milion 1 ya nini?? Pasipo shaka we tapeliMkuu nina gari aina ya kirikuu Mitsubishi iko vizuri sana nilikuwa nataka Mln 8 tu lakini sijapata mteja watu vyuma vimekaza. Mtu akija anasema ana Mln 6. na mimi siuzii njaa.
Hivi hivi tu million moja? Hahaha akakope mjomba wakehuyo hataki mkoppo wa riba anataka umuazime bila riba we BAVICHA vepee