masuala haya tunazungumzia africa almost exclusively
mfano imani hii ya chuma ulete
hai apply kwenye credit cards na debit cards
but ukiwa africa unajikuta na wewe unaishi kiafrica lol
...haya sasa,...halafu masharti yenyewe ndio utasikia eti akakogeshwe na 'fundi' baina ya saa nane nanusu usiku na kumi alfajiri!...wao wawili tu kwa masharti Mwj1 awe amejifunga upande wa kaniki!
No way, Mwj1 hata kama ni 'Gundu' bora tu ulikubali! ...hakuna kusafishana kwa namna hiyo bana...LOL!
:confused2:
Umewahi kuingia dukani then ghafla wateja wakajaa hat kama hujanunua bado unachaguachagua?Jambo hili lishanitokea mara kwa mara,na mwenye duka mmoja alilinote sijui au sijui alijuaje lakini kila nikipita lazima aniite na kunitaka ni ninunue chochote hata kwa kukopa kama sikopi basi ninywe hata soda kwa bili yake.Kwa kuwa ni mwanaume nilifikiria vingine,ila kila nilipoendelea kumchunguza sikuona dalili ya zaidi ya uteja.Siku moja nilipita akawa yupo mfanyakazi wake,nikamhoji kuhusu bosi wake kuniitaita kila mara.Ndio nikaujua ukweli,eti mm nikingia tu wateja wanajaa na mauzo yavuka wastani wa siku zote.Niliamua kubadili njia kwani nihisi sasa naweza kufanyiwa yaliyowakuta ndugu zetu maalbino.Ila nilipojifuatilia mimi binafsi,ni kweli nikiingia kwenye biashara ya mtu,iwe dukani,sokoni,mitumbani nk,watu wanajaa sana kwa ghafla.Hata sijielewi,na sijui niamini lipi wapendwa
Mbu;:shut-mouth:......................Sasa naona tunaharibiana kazi,nilishaoteshwa tangu jana kuwa mwanaj1 atakuwa mteja wangu no1.Bado namsisitizia kuwa akipuuza maagizo, hali itazidi kuwa mbaya!Kwa huduma ya kwanza,leo anapolala ahakikishe amevaa underwear ya mwenzi wake.
Mkuu kwa hiyo wanawake wa Africa tuu ndio wanaokuwa au wasiokuwa na kismati?
Mkuu huo sasa utakuwa ni uchawi
aiseeeee,umenifumbua macho hapa EMT.Ila sijawahi take seriously issue hizo,kama lengo lilikuwa hilo kwa yule jamaa basi alifail kwani mimi nilimuogopa na kama ni kumtanga au kuhadithia watu it was in a negative way.Haya mambo bwana...............
Bado tu hamjafikia muafaka????!
Tokea lini ulishaona ma-great thinker wakifikia muafaka?
unaweza usiamini but mimi nna ndugu machotara
ambao elimu yao ya kawaida but always wako better off kulinganisha na ndugu wengine ambao wamesoma sana
could be culture
but nafikiri kuna kitu kimejificha
Duh watu mnapitia mengi!! But Mbu inawezekana huyo haikuwa kwa ajili hiyo!!! Unless kama umeshawahihisi kuwa ni mshirika au anaamini hayo mambo!! pengine ni mapenzi tu loh............. wajua sometimes wanawake tunakuwaga kama wajinga kufanya lolote ili wenzi wetu watuone kwao tumefika!!Scarry stuff!...niliwahi kuishi na mtu wa namna hiyo...eti alikuwa anajiskia raha kulala na underwear zangu.
Sasa ndio naelewa.
Duh watu mnapitia mengi!! But Mbu inawezekana huyo haikuwa kwa ajili hiyo!!! Unless kama umeshawahihisi kuwa ni mshirika au anaamini hayo mambo!! pengine ni mapenzi tu loh............. wajua sometimes wanawake tunakuwaga kama wajinga kufanya lolote ili wenzi wetu watuone kwao tumefika!!
Duh watu mnapitia mengi!! But Mbu inawezekana huyo haikuwa kwa ajili hiyo!!! Unless kama umeshawahihisi kuwa ni mshirika au anaamini hayo mambo!! pengine ni mapenzi tu loh............. wajua sometimes wanawake tunakuwaga kama wajinga kufanya lolote ili wenzi wetu watuone kwao tumefika!!
...Mwj1, hilo la kukogeshwa na fundi usiku wa manane nimelisikia kwake!
nikielezea zaidi itakuwa simtendei haki. Niliachie hapo.
Kiukweli nami niliona ni ujinga haswaa...kwani hapakuwa +ve results.
Swali;
...Hivi,...mfano; Mbu na Mwj1 tumependana, hatuoni 'hatusikii la muadhini wala mnadi swala'
tukaamua kuoana. Mzazi wa upande mmojawapo akakataa kata kata tusioane!
Tukiendelea na azma yetu, tunajipa nuksi na mikosi?
wangapi wanaamini hivyo?
Nimesisitiza mzazi, kwani kuna wale vishan'kupe wanaojidai, "tulikwambia sie....!" as if wao ni wanajimu!
Siku njema.
hahahaaaaaaaaaaaaaaa... TF kala ban!!!
WanaMMU-JF..........habari za weekend?
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa katika mahusiano na mapenzi kuna aina mbili za wanawake
1. Wale wenye kismat....yaani bahati flani kiasi kwamba akiwa kwenye mahusiano na mkaka basi huyo kaka mambo yake yanakuwa tambarare........
2. Wale ambao huwa wanakuwa kama wana nyota mbaya (wenyewe huita gundu???) ambao wakiwa kwenye uhusiano basi wenzi wao huwa na wakati mgumu sana kwani hakuna kinachofanikiwa be it kikazi, biashara yaani kimaisha kwa ujumla!!...
(Sasa sijui in yale ya Hayati Sheikh Yahya!)
So naomba msaada wa kujua yafuatayo
1. Je kuna ukweli wowote katika hili? na
2. Kama ni kweli, je na upande wa wanaume nao wapo wenye kismati na wasio nacho?
ni hayo tu, aksanteni
Hahahah babu mpaka sasa kuna pande mbili zinazokaribiana. Wale wasioamini wanatoa kutokuamini kwao kwa kubase kwenye scientific na objective explanation. Kuwa hakuna kitu kama hicho. But wale wanaoamini kuwa kuna vitu kama hivyo very unfortunately wametoa concrete and vivid examples ambayo inahappen katika jamii yetu. Sasa MJ1 bado yuko njia tata.Sasas wewe mjukuu hebu tupatie hitimisho...Umeamini kuna gundu au halipo?
...Mwj1, hilo la kukogeshwa na fundi usiku wa manane nimelisikia kwake!
nikielezea zaidi itakuwa simtendei haki. Niliachie hapo.
Kiukweli nami niliona ni ujinga haswaa...kwani hapakuwa +ve results.
Swali;
...Hivi,...mfano; Mbu na Mwj1 tumependana, hatuoni 'hatusikii la muadhini wala mnadi swala'
tukaamua kuoana. Mzazi wa upande mmojawapo akakataa kata kata tusioane!
Tukiendelea na azma yetu, tunajipa nuksi na mikosi?
wangapi wanaamini hivyo?
Nimesisitiza mzazi, kwani kuna wale vishan'kupe wanaojidai, "tulikwambia sie....!" as if wao ni wanajimu!
Siku njema.