Naomba Mnijuze Tafadhali

Naomba Mnijuze Tafadhali

nimekuelewa boss

hayupo JF, yupo mjini hapa..... ni social person, light skin, cute and very intelligent, yule mwenye gundu ni four yesar younger, light and not very intelligent........... funny thing ni kwamba they have some similarities kwenye morphology but one has some positive energy always

ok
unaweza kukuta huyo mwenye mikosi
kuna matendo alifanya au anafanya

1ushirikina
2.tigo nimewahi sikia pia huleta mikosi
3.dhuluma
 
ok
unaweza kukuta huyo mwenye mikosi
kuna matendo alifanya au anafanya

1ushirikina
2.tigo nimewahi sikia pia huleta mikosi
3.dhuluma
number one maybe, 2 and three sina hakika kabisa
 
mimi nna ndugu wahindi na waarabu na waswahili tele

kuna vitu wahindi na waarabu hufanya sisi waswahili tunadharau

mfano kupenda kuishi ghorofani hata kama ni ghali mara tatu ya nyumba ya chini...
it turn out wanahusisha na bahati na kadhalika

jiulize wahindi wa tanzania mbona hawapendi kuishi nyumba za chini?

Mkuu hiyo ya kuishi ghorofani haijaniingia. Otherwise, kwenye nchi za wenzetu kama UK wanoishi maghorofani ni the poorest class, wakati matajiri wanaishi kwenye ma-bungalow. Inaweza kuwa ni myth tuu.
 
mkuu mbu mi ni muafrica
naweza sema nina bahati kuwa
namuamini mungu sana
but thru experience
ningeweza kuwa mshirikina sana
i was lucky kwamba niliona mungu pekee yake anatosha

pamoja mkuu. Binafsi pamoja na kuelewa ushirikina upo, nauchukia sana.
Wala sipendelei kabisa kuwa na urafiki na mtu mwenye imani hizo...
Ni aheri kuamini uweza wa kisayansi na mwenyezi Mungu pekee.

ok
unaweza kukuta huyo mwenye mikosi
kuna matendo alifanya au anafanya

1ushirikina
2.tigo nimewahi sikia pia huleta mikosi
3.dhuluma

...khaaa?

number one maybe, 2 and three sina hakika kabisa

LOL!...wazee mnazungumza nini tena yarabi?
nadhani na uchovu wa lile swali la Mwj1,
nikalale sasa.
 
nikupe mfano rahisi
una duka la nguo mfano kariakoo
halafu una wasichansa wawili,tuwaite angel na juliet

uki sleep na juliet mauzo hayapungui milioni 5
uki sleep na angel mauzo haya zidi milioni 3

na inatokea soo often.....
sasa hapo scientific analysis iko vipi?

Lazima iwepo sababu ya kihalisia inayopelekea hivyo. Angalia msimu (i.e. sikukuu), hali ya uchumi, bidhaa unazouza, bei zake, utangazaji wa hilo duka lako, huduma kwa wateja, ucheshi wa wauza duka lako, jinsi unavyowatendea hao wauza duka kama huuzi mwenyewe, na mengine mengi tu.

Ku attribute ongezeko au punguziko la mauzo kwa kulalana na hao madada wawili ni kutokufanya biashara kwa kitaalamu zaidi. Huu mfano wako umenikumbusha baadhi ya wafanyabiashara wa Kisukuma wanaofugaga michatu (ile mijoka) wakiamini kuwa eti itawaletea bahati katika biashara zao.
 
honestly thru experience
nawaogopa mno watanzania wanaojifanya hawaaamini
ushirikina.....
most of them ndio magwiji mno.......wa ushirikina.
ni bora mtu aseme namuamini mungu tu nitamuelewa

experience niliyukutana nayo huwa
sometimes nafikiria kuandika kitabu hivi

Asilimia 93 ya Watanzania wanaamini katika uchawi. https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ft-is-highest-in-tanzania-with-93%-bbc-5.html. Just to quote "This is the country where witchdoctors say that magic potions are more effective if they contain body parts of people with albinism."
 
Mkuu hiyo ya kuishi ghorofani haijaniingia. Otherwise, kwenye nchi za wenzetu kama UK wanoishi maghorofani ni the poorest class, wakati matajiri wanaishi kwenye ma-bungalow. Inaweza kuwa ni myth tuu.

ha ha ha!...EMT leo umeamua kuja kuweka mapointi yenye A* distinction tu hapa.
Big UP!

Tunaoishi kwenye Council Flats turie tu! ...riziki ughaibuni zinatambaa chini kwa chini...
 
:confused2:

Umewahi kuingia dukani then ghafla wateja wakajaa hat kama hujanunua bado unachaguachagua?Jambo hili lishanitokea mara kwa mara,na mwenye duka mmoja alilinote sijui au sijui alijuaje lakini kila nikipita lazima aniite na kunitaka ni ninunue chochote hata kwa kukopa kama sikopi basi ninywe hata soda kwa bili yake.Kwa kuwa ni mwanaume nilifikiria vingine,ila kila nilipoendelea kumchunguza sikuona dalili ya zaidi ya uteja.Siku moja nilipita akawa yupo mfanyakazi wake,nikamhoji kuhusu bosi wake kuniitaita kila mara.Ndio nikaujua ukweli,eti mm nikingia tu wateja wanajaa na mauzo yavuka wastani wa siku zote.Niliamua kubadili njia kwani nihisi sasa naweza kufanyiwa yaliyowakuta ndugu zetu maalbino.Ila nilipojifuatilia mimi binafsi,ni kweli nikiingia kwenye biashara ya mtu,iwe dukani,sokoni,mitumbani nk,watu wanajaa sana kwa ghafla.Hata sijielewi,na sijui niamini lipi wapendwa
 
ha ha ha!...EMT leo umeamua kuja kuweka mapointi yenye A* distinction tu hapa.
Big UP!

Tunaoishi kwenye Council Flats turie tu! ...riziki ughaibuni zinatambaa chini kwa chini...

Mkuu si unajuwa jukwaa la siasa leo hakufai. Nimeamua kujikita huku. There we go.
A052-00681_Concrete_block_of_council_flats_Margate_Kent_UK.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mkuu hiyo ya kuishi ghorofani haijaniingia. Otherwise, kwenye nchi za wenzetu kama uk wanoishi maghorofani ni the poorest class, wakati matajiri wanaishi kwenye ma-bungalow. Inaweza kuwa ni myth tuu.


masuala haya tunazungumzia africa almost exclusively

mfano imani hii ya chuma ulete
hai apply kwenye credit cards na debit cards
but ukiwa africa unajikuta na wewe unaishi kiafrica lol
 
Mtaani ni watu wengi saana wanaamini hivyo, binafsi siamini kama kuna ukweli wowote
ila niliposoma hii mada imenikumbusha kitu kimoja babu yangu alishawahi niambia, alisema watu wanaoishi katika ndoa halali(iwe imefungwa msikitini, kanisani au ndoa za kitamaduni ) huwaga wanakuwa na bahati saana. hii kitu kama inakaukweli kabisa kwani watu wangu wa karibu ambao tulimaliza chuo wakaoa wengine walipandishwa vyeo mara moja, wangine wakapata shule wangine wamefanikiwa saana katika shughuli za biashara ukilinganisha na sie ambao bado hatujaoa.

Nashindwa elewa haya mafanikio yalitokana na ndoa, au bahati labda na wengine wanaweza kushare na sie uzoefu katika hili
 
...ha ha ha, 'Wifi' ---Wireless Free Internet--- connection mbofu mbofu!



...haya mambo ya Supernatural ni insurance tu. Ukiyaamini sana huchelewi kukufuru na kumlaumu Mungu kwa kila misfortune.



...lahaula! Usinambie ushamtizamia nyota yake ukaona ana 'Gundu!' LOL...
Kumbe JF unaweza poteza possible suitors kwa kila 'footprints' unazoacha ee?

.................hahahahha umeona eh Mbu yaani ameniacha hoi..................nshatabiriwa jamani sina bahati mie ......sa sijui nkaogee maji ya kisima gani nsafishe nyote hahahaaa.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
WanaMMU-JF..........habari za weekend?

Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa katika mahusiano na mapenzi kuna aina mbili za wanawake
1. Wale wenye kismat....yaani bahati flani kiasi kwamba akiwa kwenye mahusiano na mkaka basi huyo kaka mambo yake yanakuwa tambarare........
2. Wale ambao huwa wanakuwa kama wana nyota mbaya (wenyewe huita gundu???) ambao wakiwa kwenye uhusiano basi wenzi wao huwa na wakati mgumu sana kwani hakuna kinachofanikiwa be it kikazi, biashara yaani kimaisha kwa ujumla!!...

(Sasa sijui in yale ya Hayati Sheikh Yahya!)

So naomba msaada wa kujua yafuatayo
1. Je kuna ukweli wowote katika hili? na
2. Kama ni kweli, je na upande wa wanaume nao wapo wenye kismati na wasio nacho?

ni hayo tu, aksanteni

Nirudi kwanza kwenye topic ya MwanajamiiOne asije akadhani natachakachua thread yake. Hii issue ilishajadiliwa kwenye blogu ya Dina, ambapo kuna mtu aliuliza hivi:

Leo kwenye kipindi tulikuwa na ishu moja ambayo ilipelekea kutokee mjadala ufuatao.Hivi ni kweli kuna wanawake wanakuwa na kismati flani hivi,pindi anapokuwa na mwanaume kimapenzi yule mwanaume hufanikiwa??yaani madili yake,mambo yake yote ya kipesa yanamwendea vyema akiwa na mwanamke huyo tu.Akiachana nae basi mambo yanakwenda mrama!!!!pls wanaume naomba mnisaidie kujua hili kama kweli lipo. Asante!!!!!

Sasa sijui kama ni wewe uliuliza, au ni coincidence lakini kwa wale wanaotaka kujua zaidi wanaweza kupitia comments 49 walioacha zilizoachwa pale. comments zinapatikana hapa: Dina Marios(dm): NAOMBA KUJUA KAMA HILI LINAUKWELI.

There are myths everywhere. Pia tunajua kuwa wanawake huwa wana-face stereotypes every day. Generalizations ni kawaida kwetu na stereotypes zinaweza ku-harm jamii husika. Lakini hili la mwanaume kuoa mwanamke wa aina fulani kuwa anapati kismati sio geni. Nimeliskia sana. Wapo wanaume wanaoshauriwa waoe kwenye nyumba fulani kwa vile zina kismati. Utasikia "watoto wa yule baba wana kismati cha hali ya juu na nyota zao ni kali sana. Uneona watoto wa fulani wameoa pale, waume zao wamekuwa matajiri ghala" Those sort of things. The only thing is whether or not you believe in such myths.
 
Nirudi kwanza kwenye topic ya MwanajamiiOne asije akadhani natachakachua thread yake. Hii issue ilishajadiliwa kwenye blogu ya Dina, ambapo kuna mtu aliuliza hivi:



Sasa sijui kama ni wewe uliuliza, au ni coincidence lakini kwa wale wanaotaka kujua zaidi wanaweza kupitia comments 49 walioacha zilizoachwa pale. comments zinapatikana hapa: Dina Marios(dm): NAOMBA KUJUA KAMA HILI LINAUKWELI.

There are myths everywhere. Pia tunajua kuwa kuwa wanawake huwa wana-face stereotypes every day. Generalizations ni kawaida kwetu na stereotypes zinaweza ku-harm jamii husika. Lakini hili la mwanaume kuoa mwanamke wa aina fulani kuwa anapati kismati sio geni. Nimeliskia sana. Wapo wanaume wanaoshauriwa waoe kwenye nyumba fulani kwa vile zina kismati. Utasikia "watoto wa yule baba wana kismati cha hali ya juu na nyota zao ni kali sana. Uneona watoto wa fulani wameoa pale, waume zao wamekuwa matajiri ghala" Those sort of things. The only thing is whether or not you believe in such myths.

Aksante sana EMT kwa kunijuza hili. Hapana si mimi nilieiweka kule na wala sikuwa najua kama iko kule. Aksante pia kwa link ngoja nikatalii kule
 
  • Thanks
Reactions: EMT
na watoto waliozaliwa ndani ya ndoa huwa na bahati zaidi
Inawezekana lakini pia kuna waliozaliwa nje ya ndoa na wakatupwa lakini waliowaokota na kuwalea kwao wamekuwa wakibarikiwa sana. Na wao wakikua hufanikiwa pengine kuliko watoto halali waliozaliwa ndani ya ndoa hiyo iliyowalea
 
Inawezekana lakini pia kuna waliozaliwa nje ya ndoa na wakatupwa lakini waliowaokota na kuwalea kwao wamekuwa wakibarikiwa sana. Na wao wakikua hufanikiwa pengine kuliko watoto halali waliozaliwa ndani ya ndoa hiyo iliyowalea

kuna theory hapo....
kuna theory ya mzaliwa wa kwanza
sijui kama umewahi sikia
halafu kuna theory ya kuzaliwa
katika mchanganyiko wa makabila tofauti
 
Mwanajamiione naomba nikutabirie:Kwa kuwa wewe nyota yako ni "mjusi" nakushauri ukaogee "m-bahati bahati" chini ya mti wa mchicha.Nyota yako itang'aa kama jua! teh,teh,teh.......mikosi ikizidi nitafute kwa ushauri zaidi!:glasses-nerdy:
 
Mwanajamiione naomba nikutabirie:Kwa kuwa wewe nyota yako ni "mjusi" nakushauri ukaogee "m-bahati bahati" chini ya mti wa mchicha.Nyota yako itang'aa kama jua! teh,teh,teh.......mikosi ikizidi nitafute kwa ushauri zaidi!:glasses-nerdy:

...haya sasa,...halafu masharti yenyewe ndio utasikia eti akakogeshwe na 'fundi' baina ya saa nane nanusu usiku na kumi alfajiri!...wao wawili tu kwa masharti Mwj1 awe amejifunga upande wa kaniki!
No way, Mwj1 hata kama ni 'Gundu' bora tu ulikubali! ...hakuna kusafishana kwa namna hiyo bana...LOL!
 
...haya sasa,...halafu masharti yenyewe ndio utasikia eti akakogeshwe na 'fundi' baina ya saa nane nanusu usiku na kumi alfajiri!...wao wawili tu kwa masharti Mwj1 awe amejifunga upande wa kaniki!
No way, Mwj1 hata kama ni 'Gundu' bora tu ulikubali! ...hakuna kusafishana kwa namna hiyo bana...LOL!

yaani hapo huwa natamani kufungua ofisi ya uganga
hata bure nitoe huduma hizo lol
 
Back
Top Bottom