secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Jemadari Said, Jeff leya, Dullah planet na Mariam kitosi wameshahamia crown FM, duh.KIPINDI WATANGAZAJI
Crown Sports: Juma Ayo, Jemedari, Geofrea
Jirani: Mwijaku, Riyama, Mariam Kitosi
The Throne: Dulla Planet, Travellar, Momo
Kasri: Salim Kikeke, Rukki, Imani Henrick
Huyo kitosi ni x wanguMwijaku na Riyama wanatangaza kipi cha maana?.
Ila kitosi ni bonge la mtangazaji, nilikuwa simkosi kwenye kipindi Cha supa mix cha E A Radio, alikuwa na zembwela AKA beberu au babu.Huyo kitosi ni x wangu
NdioJemadari Said, Jeff leya, Dullah planet na Mariam kitosi wameshahamia crown FM, duh.
Kweli wako vizuri.Ndio
Riyama ni wa kike au wa kiume mkuu.Mwijaku na Riyama wanatangaza kipi cha maana?.
Waigizaji wengi siku hizi wanatazamia kuwa watangazaji siku za usoni ujue...Huyu riyama bonge muigizaji ndio amekuwa mtangazaji au ni riyama mwingine.
Tony 16 yupo kipind gan?KIPINDI WATANGAZAJI
Crown Sports: Juma Ayo, Jemedari, Geofrea
Jirani: Mwijaku, Riyama, Mariam Kitosi
The Throne: Dulla Planet, Travellar, Momo
Kasri: Salim Kikeke, Rukki, Imani Henrick
Inasikika hadi Zanzibar.Hii redio ni ya dar tu? Mbona hku mikoani hatuisikii?
Kaaribika na Nini?Ila kitosi ni bonge la mtangazaji, nilikuwa simkosi kwenye kipindi Cha supa mix cha E A Radio, alikuwa na zembwela AKA beberu au babu.
Ee mungu marehemu zembwela maana kaharibika siku hizi.
Yule yuko east Africa redio kwenye kipindi Cha the cruise.Tony 16 yupo kipind gan?
Yule yuko east Africa redio kwenye kipindi Cha the cruise.
Sawa ssia
Amekuwa chawa wa serikali, ameshahariniwa na maulidi kitenge. Alipokuwa East Africa alikuwa noma sana.Kaaribika na Nini?
Angalia apo ashatokaga ata na yule dem bonge wa planetbongo alitoka yupo crownYule yuko east Africa redio kwenye kipindi Cha the cruise.
Sawa sawa!
Ukiiponda serkal ulambi asaliAmekuwa chawa wa serikali, ameshahariniwa na maulidi kitenge. Alipokuwa East Africa alikuwa noma sana.