Mtu_imara
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 221
- 336
Umeona apo yupo crownYule yuko east Africa redio kwenye kipindi Cha the cruise.
Sawa sawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona apo yupo crownYule yuko east Africa redio kwenye kipindi Cha the cruise.
Sawa sawa!
Kwanini usimuelekee yeye akupatie hayoWakuu naomba mnijuze vipindi vya Crown FM Radio na watangazaji wa vipindi hivyo maana kuna jamaa anaisifia sana hiyo redio.
Tangu Crown FM ianzishwe sijabahatika kuisikiliza zaidi ya kuambiwa na huyo jamaa kuwa ni bonge la redio hapa nchini Kwa sasa.
Mwili ulinisisimka Kwa jinsi jamaa alivyokuwa anaipamba mpaka nikafika kwenye mshindo, hivyo naombeni mnipe orodha ya watangazaji wa hiyo redio na vipindi wanavyoviendesha.
Duh basi basi East Africa hawakai watangazaji kama Tony 16 na lesa said wametoka.Angalia apo ashatokaga ata na yule dem bonge wa planetbongo alitoka yupo crown
Saiv wapo na rich msafi na bonge mmoja iv planetbongo nlikua namkubali dulaDuh basi basi East Africa hawakai watangazaji kama Tony 16 na lesa said wametoka.
EA Radio ni ya kishenzinmno.
Nimeona mkuu.Umeona apo yupo crown
Kwani rich msafinnaye yuko crow? Siyo kweli mkuu, juzi nilimsikia pale east Afrika alikuwa na januari omary na jamaa mmoja jina Leke limeniponyoka.Saiv wapo na rich msafi na bonge mmoja iv planetbongo nlikua namkubali dula
Aise nibalaa hii taaluma imeingiliwa hivi kweli wanasomea kweli?Waigizaji wengi siku hizi wanatazamia kuwa watangazaji siku za usoni ujue...
Soma vzr yupo rich msafi planet bongo na jamaa bongeKwani rich msafinnaye yuko crow? Siyo kweli mkuu, juzi nilimsikia pale east Afrika alikuwa na januari omary na jamaa mmoja jina Leke limeniponyoka.
Wanasomea wapi ni wapiga domo tu hata darasa la saba hawajafika.Aise nibalaa hii taaluma imeingiliwa hivi kweli wanasomea kweli?
Ok, nimekupata mkuu. Ningeshangaa sana.Soma vzr yupo rich msafi planet bongo na jamaa bonge
Alafu wanaosomea unakuta hawajui Kama wale talentedWanasomea wapi ni wapiga domo tu hata darasa la saba hawajafika.
Tarajia Mc mboneke, Mr mwanya, mkojani na kingwendu kuwa watangazaji siku harmonize akianzisha Redio yake.
Ndo hivyo, unakuta mtu anaenda chuo kusomea journalism halafu ukimuuliza anawajua watangazaji wangapi anakuambia simjui mtangazaji yeyote.Alafu wanaosomea unakuta hawajui Kama wale talented
Kweli io talented kitambo anasukuma gurudum sasa ww degree unaanza utangazaji lizee hujui ata tasnia ipojeNdo hivyo, unakuta mtu anaenda chuo kusomea journalism halafu ukimuuliza anawajua watangazaji wangapi anakuambia simjui mtangazaji yeyote.
Wanaowajua ni MC's wa mitaani wanapiga makelele kwenye send off.
Riyama ni wa kike au wa kiume mkuu.
The Throne anasimama kama ProducerTony 16 yupo kipind gan?
Inasikitisha sana mkuu.Kweli io talented kitambo anasukuma gurudum sasa ww degree unaanza utangazaji lizee hujui ata tasnia ipoje
Sema EA Radio wanajua sana kuleta watuDuh basi basi East Africa hawakai watangazaji kama Tony 16 na lesa said wametoka.
EA Radio ni ya kishenzinmno.
Silipingi hilo.Sema EA Radio wanajua sana kuleta watu
Ipo kwenye king'amuzi cha azamHii redio ni ya dar tu? Mbona hku mikoani hatuisikii?
Ndiye mke wa Afisa Habari wa TFF, Clifford Ndimbo? Alisimama vizuri wakati Ndimbo akipitia changamoto ya maradhi.Huyo kitosi ni x wangu