kaburi jeusi
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 258
- 145
Vl kabia hatumii huyo.Thanks kwa kumsaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vl kabia hatumii huyo.Thanks kwa kumsaidia
Elfu tano kwa siku nzima chakula watu wawili ni ngumu kama jiwe hapo uswazi labda.150000 hiyo weka ya chakula home, hizo zingine tungua tu au unakitu kingine cha kufanya
Mchanganuo mzuri labda hapo imekosekana kodi ya nyumba, kama anaishi nyumba ya bure hapo poa.Umeme na maji navyo muhimu, na hiyo vocha sio lazima aweke kila siku unless kama ana important issues daily.Fanya hivi:
#1. Unga 25Kg= 30,000
#2. Mchele 5Kg =10,000
#3. Mafuta 5lita =17,000
#4. Sukari 2kg = 4000
#5. Mkaa = 10,000
#6. Maharage 3kg= 6,000
Jumla = 77,000
Mbonga = 81,000 kwa mwezi
Vocha 1000@siku jumla 30,000
Others 50,000
Saving 50,000
Nauli 62,000
Jumla 350,000
Nb;
Jitahidi kununua mahitaji ya mwezi mzima kwa vitu visivyoharibika.
zanzibara mayai mayai ninavosikia kula supu ya pweza sana maana hapo kwenye mtoto nimekuelewaZanzibar
Sasa mawazo ya hawa watu wawili ndo mahitaji yako kwa mwezi... Bajeti yako lazima iguse hayo yote.... Gawa mwenyew cz unajua vzuri kila kitu kinagharimu sh ngapKodi ya nyumba=.........?
Umeme=........?
Maji=.......?
Chakula umemwambia atumie 150,000: Swali; 5,000 (mtu na mkewe) kwa siku inatosha? Chai? Kitafunwa?Lunch?Dinner?
Kusidia ndugu/wazazi kijijini=....?
Maendeleo:....?
nauli 73,000
chakula 150,000"
vocha na bandle 20,000
emergency 50,000
saving 57,000...baada ya miezi kadhaa utanunua kanguo na vitu vya ndani kidogo kidogo
Unaenda kazn siku ngapMshahara wangu kwa mwezi ni 350,000. Naomba mnipangie matumizi ili pesa hiyo ikidhi mahitaji kwa mwezi mzima.
NB: Nina mke sijabahatika mtoto mpaka sasa.
Nauli ya kwenda kazini 2800 kwa siku.
Nyani mzee kakwepa mishale mingi!!! Teh teh teh ashindwe yyFanya hivi:
#1. Unga 25Kg= 30,000
#2. Mchele 5Kg =10,000
#3. Mafuta 5lita =17,000
#4. Sukari 2kg = 4000
#5. Mkaa = 10,000
#6. Maharage 3kg= 6,000
Jumla = 77,000
Mbonga = 81,000 kwa mwezi
Vocha 1000@siku jumla 30,000
Others 50,000
Saving 50,000
Nauli 62,000
Jumla 350,000
Nb;
Jitahidi kununua mahitaji ya mwezi mzima kwa vitu visivyoharibika.
Naomba kuelewa kuhusu mkaa wa 10000..yupo mkoa ganiFanya hivi:
#1. Unga 25Kg= 30,000
#2. Mchele 5Kg =10,000
#3. Mafuta 5lita =17,000
#4. Sukari 2kg = 4000
#5. Mkaa = 10,000
#6. Maharage 3kg= 6,000
Jumla = 77,000
Mbonga = 81,000 kwa mwezi
Vocha 1000@siku jumla 30,000
Others 50,000
Saving 50,000
Nauli 62,000
Jumla 350,000
Nb;
Jitahidi kununua mahitaji ya mwezi mzima kwa vitu visivyoharibika.
Hilo nalo neno[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji11] [emoji3] [emoji3]
Sio mwenzio huyu mzee a naishi kwa kufikiria tu Unga kilo 25 kwa bei hiyo unapata wapi usawa huuNaomba kuelewa kuhusu mkaa wa 10000..yupo mkoa gani
Tumempa mwanga tuSasa mawazo ya hawa watu wawili ndo mahitaji yako kwa mwezi... Bajeti yako lazima iguse hayo yote.... Gawa mwenyew cz unajua vzuri kila kitu kinagharimu sh ngap
Utakua single had liniWengine tunalipwa 180,000/= na maisha yanaenda tu...Ila kuwa single raha sana hamna jam....hiyo yako ni nyingi sana fuata ushaur wa wadau hapo juu.
6*4=24 so budget ya siku 24,kazini na siku 6 home full timeSiku 6
Zanzibar Rais s kaongeza mshahara kwa asilimia 100?Mshahara wangu kwa mwezi ni 350,000. Naomba mnipangie matumizi ili pesa hiyo ikidhi mahitaji kwa mwezi mzima.
NB: Nina mke sijabahatika mtoto mpaka sasa.
Nauli ya kwenda kazini 2800 kwa siku.