Naomba mnipangie matumizi ya pesa kwa mwezi

Naomba mnipangie matumizi ya pesa kwa mwezi

Fanya hivi:
#1. Unga 25Kg= 30,000
#2. Mchele 5Kg =10,000
#3. Mafuta 5lita =17,000
#4. Sukari 2kg = 4000
#5. Mkaa = 10,000
#6. Maharage 3kg= 6,000

Jumla = 77,000

Mbonga = 81,000 kwa mwezi

Vocha 1000@siku jumla 30,000

Others 50,000



Saving 50,000

Nauli 62,000


Jumla 350,000



Nb;
Jitahidi kununua mahitaji ya mwezi mzima kwa vitu visivyoharibika.
Mchanganuo mzuri labda hapo imekosekana kodi ya nyumba, kama anaishi nyumba ya bure hapo poa.Umeme na maji navyo muhimu, na hiyo vocha sio lazima aweke kila siku unless kama ana important issues daily.
 
Kodi ya nyumba=.........?
Umeme=........?
Maji=.......?
Chakula umemwambia atumie 150,000: Swali; 5,000 (mtu na mkewe) kwa siku inatosha? Chai? Kitafunwa?Lunch?Dinner?
Kusidia ndugu/wazazi kijijini=....?
Maendeleo:....?
Sasa mawazo ya hawa watu wawili ndo mahitaji yako kwa mwezi... Bajeti yako lazima iguse hayo yote.... Gawa mwenyew cz unajua vzuri kila kitu kinagharimu sh ngap
nauli 73,000
chakula 150,000"
vocha na bandle 20,000
emergency 50,000
saving 57,000...baada ya miezi kadhaa utanunua kanguo na vitu vya ndani kidogo kidogo
 
Unae
Mshahara wangu kwa mwezi ni 350,000. Naomba mnipangie matumizi ili pesa hiyo ikidhi mahitaji kwa mwezi mzima.

NB: Nina mke sijabahatika mtoto mpaka sasa.

Nauli ya kwenda kazini 2800 kwa siku.
Unaenda kazn siku ngap
 
Fanya hivi:
#1. Unga 25Kg= 30,000
#2. Mchele 5Kg =10,000
#3. Mafuta 5lita =17,000
#4. Sukari 2kg = 4000
#5. Mkaa = 10,000
#6. Maharage 3kg= 6,000

Jumla = 77,000

Mbonga = 81,000 kwa mwezi

Vocha 1000@siku jumla 30,000

Others 50,000



Saving 50,000

Nauli 62,000


Jumla 350,000



Nb;
Jitahidi kununua mahitaji ya mwezi mzima kwa vitu visivyoharibika.
Nyani mzee kakwepa mishale mingi!!! Teh teh teh ashindwe yy
 
Fanya hivi:
#1. Unga 25Kg= 30,000
#2. Mchele 5Kg =10,000
#3. Mafuta 5lita =17,000
#4. Sukari 2kg = 4000
#5. Mkaa = 10,000
#6. Maharage 3kg= 6,000

Jumla = 77,000

Mbonga = 81,000 kwa mwezi

Vocha 1000@siku jumla 30,000

Others 50,000



Saving 50,000

Nauli 62,000


Jumla 350,000



Nb;
Jitahidi kununua mahitaji ya mwezi mzima kwa vitu visivyoharibika.
Naomba kuelewa kuhusu mkaa wa 10000..yupo mkoa gani
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji11] [emoji3] [emoji3]
Hilo nalo neno
 
Maji 10,000
Umeme 8000
Unga ugali 25kg 37,000
Mchele 5kg 10,000
Sukari 3kg 6,600

Mboga (hapa uelewe)...
Nyama kwa mwez mara 8 yaani twice per week(1/2 kg) 24,000
Mboga zingine km majani na jamii zake,dagaa na nyinginezo 20,000
Viungo vya mboga km nyanya,hoho,caroti,chumvi,vitunguu na vinginevyo 6,400

Nauli 62,000
Mkaa 20,000
Maharage (5kg) 10,000
Mafuta kula 5kg 18,000
Kodi 50,000
Vocha(hapa nunua ya wiki 2000)kwa mwez 8,000
Savings 20,000 kila mwez na usiitoe hata iweje!
Mengineyo.....40,000

JUMLA KUU 350,000
Utaweza km ukiamua ww na mkeo!
 
Mshahara wangu kwa mwezi ni 350,000. Naomba mnipangie matumizi ili pesa hiyo ikidhi mahitaji kwa mwezi mzima.

NB: Nina mke sijabahatika mtoto mpaka sasa.

Nauli ya kwenda kazini 2800 kwa siku.
Zanzibar Rais s kaongeza mshahara kwa asilimia 100?
 
Back
Top Bottom