Naomba mnipokee

Naomba mnipokee

Karibu sana Alekisi milazi humu jf kuna watu wanamastori humu utafurahi sana kama umeowa angalia ndoa yako isije vunjika maana utakuwa unacheka peke yako mpaka mkeo atakushangaa
_
Usiingie muda wa kazi utafukuzwa kazi maana utaonekana mvivu wa kazi
_ uwe na akili ya kuchambua mema na mabaya usije ishia jela
Pia utajiri wa mawazo na mali upo humu jf
 
Tabata segerea sio kigogo
IMG_20201211_104717_857.jpg
 
Wewe umeweka picha yako humu, wstu wanaweza kuitumia kwenda kukopea pesa banki, shauri yako bwana mdogo. Kesho wakihitaji pesa inaonekana utatoa pesa wewe,[emoji1787][emoji1787]

Wewe ni msukuma???
Mhh
 
Wewe umeweka picha yako humu, watu wanaweza kuitumia kwenda kukopea pesa banki, shauri yako bwana mdogo. Kesho wakihitaji pesa inaonekana utatoa pesa wewe,[emoji1787][emoji1787]

Wewe ni msukuma???
Mhh
 
Back
Top Bottom