Naomba mnisaidie connection ya kazi au Internship, nina Shahada ya Uhasibu

Naomba mnisaidie connection ya kazi au Internship, nina Shahada ya Uhasibu

hapa ndipo uliongea sijui kuandika "Nimekuja kwenu kuomba msaada wa connection ya kupata kazi au internships katika field ya uhasibu, fedha, ukaguzi, masoko n.k". Halafu me niko upande wako nakutetea maana jamaa anataka ukafanye kazi baa wakati wewe ni mhasibu graduate
Mhasibu wa Baa
 
Back
Top Bottom