Naomba Mnisaidie Kujuzwa Kuhusu Gaming Pc Yenye Graphic Card Ya Gtx 1650 4 Gb

Naomba Mnisaidie Kujuzwa Kuhusu Gaming Pc Yenye Graphic Card Ya Gtx 1650 4 Gb

Joseph 44

Member
Joined
Nov 14, 2022
Posts
49
Reaction score
21
Jamani poleni nakazi na mihangaiko ya hapa na pale wakuu. Kama nilivyosema mimi ni mpenzi wa games sasa kuna gaming pc nimeipata mshikaji anaiuza hana hela kaishiwa ina graphic card aina ya GTX 1650 4 GB sasa nilikuwa nauliza hii gaming pc inaweza kucheza magame ya ps5 Maana hamu yangu ni kucheza game za ps 5 na changamoto nikuwa ps5 inabei ghari sana na hii pc ya mshikaji inabei nafuu kwakuwa anashida na hela nimeona niichukue pengine nitakata kiu ya ps5 sasa naombeni mnishauli je ni kweli kabla sijainunua nisije nikaingia mkenge Maana Sina ujuzi na mambo ya gaming pc kwenu wakuuu 🙏
 
Ni game gani exactly ulikua unapendelea? Experience ya PS5 ni tofauti kabisa na ya PC.
 
Ishi
Jamani poleni nakazi na mihangaiko ya hapa na pale wakuu. Kama nilivyosema mimi ni mpenzi wa games sasa kuna gaming pc nimeipata mshikaji anaiuza hana hela kaishiwa ina graphic card aina ya GTX 1650 4 GB sasa nilikuwa nauliza hii gaming pc inaweza kucheza magame ya ps5 Maana hamu yangu ni kucheza game za ps 5 na changamoto nikuwa ps5 inabei ghari sana na hii pc ya mshikaji inabei nafuu kwakuwa anashida na hela nimeona niichukue pengine nitakata kiu ya ps5 sasa naombeni mnishauli je ni kweli kabla sijainunua nisije nikaingia mkenge Maana Sina ujuzi na mambo ya gaming pc kwenu wakuuu 🙏
Yah hapo inasukuma mpaka fifa 24 na game Nying kibao Tu Kikubwa inunulie cooling pad Ili graphic card zipoozwe vizuri kama ni mtu wa kucheza game masaa mengi
 
Hiyo HP pavilion GTX 1050
 

Attachments

  • PXL_20250205_155140145.jpg
    PXL_20250205_155140145.jpg
    1.1 MB · Views: 4
Pita notebookcheck utaona game inazoweza kusukuma, game nyingi za 2022 kuja juu utapiga kwenye Medium - High graphics settings za miaka ya chini nyingi unafika hadi ultra....ni card nzuri kama unataka kutumia pesa chache
 
Hiyo
Ishi

Yah hapo inasukuma mpaka fifa 24 na game Nying kibao Tu Kikubwa inunulie cooling pad Ili graphic card zipoozwe vizuri kama ni mtu wa kucheza game masaa mengi
Cool pad sifahamu boss naomba unijurishe
 
Hizo Bei around 40K na kuendelea
 

Attachments

  • Screenshot_20250205-225235.png
    Screenshot_20250205-225235.png
    1.2 MB · Views: 3
Nyingi utacheza kwa medium settings

Bt huenda isiwe na support kwa game zinazotoka hivi sasa. Watengenezaji wanaamia kwenye gpu za rtx.
 
Kwan ps4 inasapoti rtx mkuu?
Hapana ps5 ndio inapambana na rtx.

Kumbuka ps4 imetoka 2013 /2014 ina gpu ya 2gb.

Ni vyema kwenda na rtx kwasababu hivi sasa tayari kuna game hazichezi kwenye gtx tena.

Si ajabu game nyingi zinazofuata nyingi zikataka rtx kwa ajili ya features za dlss na ray tracing.
 
Hapana ps5 ndio inapambana na rtx.

Kumbuka ps4 imetoka 2013 /2014 ina gpu ya 2gb.

Ni vyema kwenda na rtx kwasababu hivi sasa tayari kuna game hazichezi kwenye gtx tena.

Si ajabu game nyingi zinazofuata nyingi zikataka rtx kwa ajili ya features za dlss na ray tracing.
Asante mkuu nimekupata vyema kwani ni rtx gani inaendana na ps5 na ina bei gani mkuu? 😟
 
Back
Top Bottom