Naomba mnisaidie kupendekeza jina zuri na 'unique' la mtoto wa kiume wa Kiislam

Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
Sadam au Osama
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bwana ukasha alioa na pia aliolewa Huyu na akazaa watoto enzi za bwana mtume Muhammad s.a.w kisa chake mpaka akaolewa kinanifurahisha sanaaa
Alitaka kujua kati ya mwanaume na mwanamke nani anaskia raha wakati wa kugegedana akajikuta kabadilika mwanamke na akaolewa[emoji16]
 
Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
"Mtanzania."
 
Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
Majina mazuri na ya kipekee yote yametumika.

Anza na majina ya mitume,kisha ya maswahaba wa mtume kisha ya waja wema.
 
Kuna majina nimeyafikiria kama Aaban au Abiy pia naomba ushauri juu ya hayo majina hapo
Abiy maana yake "Baba yangu" kwahiyo halina maana kumuita mtoto.

Hili "Aaban" nahisi ulikusudia "Aabun" hili maana yake "Baba".

Shukrani.
 
Majina ya Kiislamu kijana,ndiyo maana Mtume wapo baadhi ya maswahaba wake aliwabadilisha majina.

Vile vile mtume ametuusia tuwape watoto wetu majina mazuri kama vile Abdullah,Abdulrahman. Tafuta kitabu kiitwacho "Tasmiyaat al Mawluud" cha sheikh Bakar Abuu Zayd ameelezea adabu za kuwapa watoto majina. Mambo msiyo kuwa na ujuzi nayo msiwe mnayaongelea.
 
Dina haina uafrika wala uarabu. Ukweli usemwe majina mengi ya waafrika hayana maana nzuri bali ya hovyo.
 
Hiki kituko kingine,jf kuna watu wajinga sijapata kuona sehemu nyingine yoyote.
 
Imam Malik jina lake ni hilo hilo Malik, Abdullah hapo umechanganya, hiyo ilikuwa ni kun-ya yake ambayo ni Abu Abdillah yaani Baba Abdillah. Hivyo jina lake hasa ni Malik na Abu Abdillah ilikuwa ni Kun-ya yake.
 
Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
Mpe jina AZHAR.
Hii ina maan ya nyota ing'aayo angani, mzuri na mwenyekupendwa.
 
Kuna majina nimeyafikiria kama Aaban au Abiy pia naomba ushauri juu ya hayo majina hapo
Aaban cjui maana yake lakini Abiy naona kama ni baba abiy kwa kiarabu ni baba angu
1-Muhammad
2- Khalid
3-AbdulRahman
4-Ibrahiym
5 -Qais
6- Qaboos
7- Rabbani
8-Laiyth
9-Luay
10-Adam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…