GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu mwambieni wazoefu hapa Mjengoni tumeshamjua na kumbe 24/7 kuanzia Saa 5 usiku huwa tunakuwa nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hili ni kweli??nasikia kuna watu walipotea
Ninachojua wale Waliobakwa hasa kule Mabondeni kama unaelekea Baharini ni wengi na Walioambukizwa UKIMWI pia.nasikia kuna watu walipotea
Kuna Dereva Bodaboda Rafiki yangu kasema Yeye kuanzia Saa 5 Usiku hadi Saa 11 Alfajiri alikaza Mademu tofauti Saba.Hivi hili ni kweli??
nimeona tangazo humu watu wanamtafuta baba yaoHivi hili ni kweli??
Na bado....!!nimeona tangazo humu watu wanamtafuta baba yao
Usiku wa mkesha wengine waliaga wanaenda mkesha kumbe wanaenda kwa mahawara zaonimeona tangazo humu watu wanamtafuta baba yao
Mzee wa spana GENTAMYCINEHalafu mwambieni wazoefu hapa Mjengoni tumeshamjua na kumbe 24/7 kuanzia Saa 5 usiku huwa tunakuwa nae.
Unadhani wote waenda pale wana ugumu wa maisha? Siku za ibada kupata sehemu ya kupaki gari shida .Watu wanakuja magari private ya mamilioni kuanzia 100 kwenda mbele sadaka akitoa kiwango cha chini milioni mojaUgumu wa Maisha umepelekea watu kurukwa na akili. Wajinga acha waliwe
Ndio maana hadi leo ni.maskini huyo bodaboda hajanunua Hiace yuko tu na bodabodaKuna Dereva Bodaboda Rafiki yangu kasema Yeye kuanzia Saa 5 Usiku hadi Saa 11 Alfajiri alikaza Mademu tofauti Saba.
Ila wewe Kijana una shida mahali🤣🤣Kuna Dereva Bodaboda Rafiki yangu kasema Yeye kuanzia Saa 5 Usiku hadi Saa 11 Alfajiri alikaza Mademu tofauti Saba.
Hakika Mkuu. Na bado....!!Ugumu wa Maisha umepelekea watu kurukwa na akili. Wajinga acha waliwe
Ugumu wa maisha ni matokeo ya ufahamu mdogoUgumu wa Maisha umepelekea watu kurukwa na akili. Wajinga acha waliwe
Kwa kiasi fulani hata Mimi nakubaliana nawe na Yeye pia. Acha atumie Upumbavu wa Wapumbavu wengi kula Pesa zao.Wengi mno walirudi nyumbani kwa miguu mana walikamuliwa hadi nauli, ila mm namkubali sana Mwamposa mana ameamua kutumia fursa vzr
Ndiyo Mimi Mkuu na hakuna Mwingine na wala hatokuja kutokea Mwingine hapa JamiiForums. GENTAMYCINE ni Mmoja tu JF nzima.Mzee wa spana GENTAMYCINE