Uliniuliza kama bado nipo Uganda na Askari wa Museveni au bado jibu lako ni kwamba siko tu Jeshini Uganda bali pia nipo Ikulu yao kama Mtendaji na bahati nzuri hata Rais wako Samia ameshafahamishwa juu ya uwepo wangu hapa Uganda na Kazi kubwa ya Kuiheshimisha Tanzania yako / yetu kuanzia mwaka huu 2024 hadi April 2026.
Kuna Watu mnadhani mnavyomjua GENTAMYCINE hapa JF au mlivyomjua miaka hiyo basi ndiyo Yule Yule na ndiyo maana Kutwa huwa nawaambia kuwa acheni Kukariri kwani Mwenyezi Mungu ambaye nampenda nae ananipenda mno amenifanyia Maajabu makubwa katika Maisha yangu na ndiyo maana Asante yangu huwa nasaidia Wengine.