Naomba mrejesho Wangapi walipona na wamefanikiwa baada ya Mkesha wa Ijumaa iliyopita Afrika Mashariki?

Naomba mrejesho Wangapi walipona na wamefanikiwa baada ya Mkesha wa Ijumaa iliyopita Afrika Mashariki?

Namkubali sana Mwamposa kwasababu anajua kucheza na akili za wajinga na kuwapiga
Hata Mimi Mkuu. Watakuja tu Kumshtukia pale wote wakiwa Masikini maradufu katika Maisha yao Siku si nyingi Mkuu.
 
Sasa nipewe Ban mimi sina matusi wala situkani watu hovyo.
Vipi wale Wanajeshi wa Mseven bado uko nao.
Uliniuliza kama bado nipo Uganda na Askari wa Museveni au bado jibu lako ni kwamba siko tu Jeshini Uganda bali pia nipo Ikulu yao kama Mtendaji na bahati nzuri hata Rais wako Samia ameshafahamishwa juu ya uwepo wangu hapa Uganda na Kazi kubwa ya Kuiheshimisha Tanzania yako / yetu kuanzia mwaka huu 2024 hadi April 2026.

Kuna Watu mnadhani mnavyomjua GENTAMYCINE hapa JF au mlivyomjua miaka hiyo basi ndiyo Yule Yule na ndiyo maana Kutwa huwa nawaambia kuwa acheni Kukariri kwani Mwenyezi Mungu ambaye nampenda nae ananipenda mno amenifanyia Maajabu makubwa katika Maisha yangu na ndiyo maana Asante yangu huwa nasaidia Wengine.
 
Uliniuliza kama bado nipo Uganda na Askari wa Museveni au bado jibu lako ni kwamba siko tu Jeshini Uganda bali pia nipo Ikulu yao kama Mtendaji na bahati nzuri hata Rais wako Samia ameshafahamishwa juu ya uwepo wangu hapa Uganda na Kazi kubwa ya Kuiheshimisha Tanzania yako / yetu kuanzia mwaka huu 2024 hadi April 2026.

Kuna Watu mnadhani mnavyomjua GENTAMYCINE hapa JF au mlivyomjua miaka hiyo basi ndiyo Yule Yule na ndiyo maana Kutwa huwa nawaambia kuwa acheni Kukariri kwani Mwenyezi Mungu ambaye nampenda nae ananipenda mno amenifanyia Maajabu makubwa katika Maisha yangu na ndiyo maana Asante yangu huwa nasaidia Wengine.
Uwe unakumbuka ulichoandika thread zilizopita tena leo leo.unajiabisha dogo.Acha kupenda sifa usizo stahili.
 
Uwe unakumbuka ulichoandika thread zilizopita tena leo leo.unajiabisha dogo.Acha kupenda sifa usizo stahili.
Jitahidi nawe uje kuwa na Hadhi ya VVIP ambayo ninayo. Jiulize Mimi ni Mtanzania kwanini nipo Ikulu ya hapa Uganda?

Chuki, Wivu na Ushamba vitakumaliza. GENTAMYCINE yule uliyemjua Wewe au uliyeambiwa siyo huyu wa sasa 2024 sawa?
 
Jitahidi nawe uje kuwa na Hadhi ya VVIP ambayo ninayo. Jiulize Mimi ni Mtanzania kwanini nipo Ikulu ya hapa Uganda?

Chuki, Wivu na Ushamba vitakumaliza. GENTAMYCINE yule uliyemjua Wewe au uliyeambiwa siyo huyu wa sasa 2024 sawa?
Labda hadhi ya ZZIP ndio unayo
 
alaf Genta nakuona unafatafata sana huduma yangu, una LC 300?
 
Back
Top Bottom