Naomba mrejesho Wangapi walipona na wamefanikiwa baada ya Mkesha wa Ijumaa iliyopita Afrika Mashariki?

Naomba mrejesho Wangapi walipona na wamefanikiwa baada ya Mkesha wa Ijumaa iliyopita Afrika Mashariki?

Unadhani wote waenda pale wana ugumu wa maisha? Siku za ibada kupata sehemu ya kupaki gari shida .Watu wanakuja magari private ya mamilioni kuanzia 100 kwenda mbele sadaka akitoa kiwango cha chini milioni moja

Hadi mama Samia mwenyewe hupeleka sadaka kwa Mwamposa ana ugumu gani wa maisha? Au Chalamila mkuu wa mkos wa Dar es salaam ana ugumu gani wa maisha au Paul Makonda
Kanisa kujua watu wanaosali.pale wa aina gani kaangalie eneo la kupaki magari watu wakiwa ibadani
Watetezi wa Mchawi wa Kiimani mmekuja. Karibuni.
 
Ndio maana hadi leo ni.maskini huyo bodaboda hajanunua Hiace yuko tu na bodaboda

Huo muda angeutumia kufanya biashara ya bodaboda angekuwa mbali

Kaishia tu kuning'inia kwenye vifua vya malaya
Badala ya kutafuta pesa anatafuta malaya Hajui agenda yake ya maisha kuwa kazi yake nini
Masaa sita yote anahangaika na malaya badala ya kufanya biashara ya bodaboda

Umaskini unamuita
Watetezi wa Mchawi wa Kiimani mmekuja. Karibuni.
 
Unadhani wote waenda pale wana ugumu wa maisha? Siku za ibada kupata sehemu ya kupaki gari shida .Watu wanakuja magari private ya mamilioni kuanzia 100 kwenda mbele sadaka akitoa kiwango cha chini milioni moja

Hadi mama Samia mwenyewe hupeleka sadaka kwa Mwamposa ana ugumu gani wa maisha? Au Chalamila mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ana ugumu gani wa maisha au Paul Makonda
Kanisa kujua watu wanaosali pale wa aina gani kaangalie eneo la kupaki magari watu wakiwa ibadani
Tunajua biashara za hao watu.....ni waganga ila wanaotumia msalaba
 
UGUMU WA MAISHA NI KUTOKANA NA UTAWALA MBOVU ULIOPO.
UWEPO WA HAWA WATU UNAFANYA ZOEZI LA KULETA MABADIRIKO KUWA GUMU ZAIDI (NA NDIO FURAHA YA CCM NA MACHAWA WAO).
WALIO PIGANIA UHURU WALIJITOA WAO, SIO KUKESHA KUSALI!
SASA UGUMU WA MAISHA UNATAFUNA WALIO WENGI,UNATUFANYA, TUAMINI CHOCHOTE KILE CHENYE KUTUTAJIRISHA.
TUNATAMANI UTAJIRI WA KUJA KAMA CHAFYA!

NA NDIO MAANA KUNA;
WATEJA WENGI WA WAGANGA WA KIENYEJI
WATEJA WENGI WA KUCHEZA KAMARI/BETTING
WATEJA WENGI WA MITUME NA MANABII.(MITUME NA MANABII WANAOPATIKANA MIJINI TU)
WATEJA WENGI WA PESA ZA KUDOWNLAOD!
 
Uponyaji au muujiza kwani unakujaga haraka haraka hivyo lakini mbona Yesu alikua anaponya papo Kwa hapo? Kweli wakuje watupe ushuhuda hivi waandishi Wa habari hawakuwepo?
 
Back
Top Bottom