GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Watetezi wa Mchawi wa Kiimani mmekuja. Karibuni.Unadhani wote waenda pale wana ugumu wa maisha? Siku za ibada kupata sehemu ya kupaki gari shida .Watu wanakuja magari private ya mamilioni kuanzia 100 kwenda mbele sadaka akitoa kiwango cha chini milioni moja
Hadi mama Samia mwenyewe hupeleka sadaka kwa Mwamposa ana ugumu gani wa maisha? Au Chalamila mkuu wa mkos wa Dar es salaam ana ugumu gani wa maisha au Paul Makonda
Kanisa kujua watu wanaosali.pale wa aina gani kaangalie eneo la kupaki magari watu wakiwa ibadani
Kuna Dereva Bodaboda kasema Kakaza Mademu Saba na Wanane alitaka Kumjaribu ila ikamgomea Kusimama.Sadaka ya kujimaliza ndio mbaya, imagine unatoa mpaka nauli unaanza kutembea usiku kurudi nyumbani kwanini usipotee.
Watetezi wa Mchawi wa Kiimani mmekuja. Karibuni.Ndio maana hadi leo ni.maskini huyo bodaboda hajanunua Hiace yuko tu na bodaboda
Huo muda angeutumia kufanya biashara ya bodaboda angekuwa mbali
Kaishia tu kuning'inia kwenye vifua vya malaya
Badala ya kutafuta pesa anatafuta malaya Hajui agenda yake ya maisha kuwa kazi yake nini
Masaa sita yote anahangaika na malaya badala ya kufanya biashara ya bodaboda
Umaskini unamuita
Sure 😀Ndiyo Mimi Mkuu na hakuna Mwingine na wala hatokuja kutokea Mwingine hapa JamiiForums. GENTAMYCINE ni Mmoja tu JF nzima.
Ndio Maana Wazungu wana bifu na waafrika wanasema Lazima wawa Eliminate Bilioni 3Ugumu wa Maisha umepelekea watu kurukwa na akili. Wajinga acha waliwe
Mwambie huyo bodaboda wako atafute pesa akeshe usiku kucha kutafuta pesa badala ya kushinda usiku kucha kwenye vifua vya wanawake wawe wanatoka kanisani kwa Mwamposa au popoteWatetezi wa Mchawi wa Kiimani mmekuja. Karibuni.
Mke wa baba yangu mdogo alitembea kutoka Kawe mpaka Tandika kwa miguu, kumuuliza tatizo nini anasema alitoa mpaka nauli kwenye sadaka ya kujimaliza.Wengi mno walirudi nyumbani kwa miguu mana walikamuliwa hadi nauli, ila mm namkubali sana Mwamposa mana ameamua kutumia fursa vzr
Baba yako Mdogo kaoa Hasara hapo. Mpe pole kwa niaba yangu tafadhali.Mke wa baba yangu mdogo alitembea kutoka kawe mpaka tandika kwa miguu, kumuuliza tatizo nini anasema alitoa mpaka nauli kwenye sadaka ya kujimaliza.
Zimefika mkuu.Baba yako Mdogo kaoa Hasara hapo. Mpe pole kwa niaba yangu tafadhali.
Tunajua biashara za hao watu.....ni waganga ila wanaotumia msalabaUnadhani wote waenda pale wana ugumu wa maisha? Siku za ibada kupata sehemu ya kupaki gari shida .Watu wanakuja magari private ya mamilioni kuanzia 100 kwenda mbele sadaka akitoa kiwango cha chini milioni moja
Hadi mama Samia mwenyewe hupeleka sadaka kwa Mwamposa ana ugumu gani wa maisha? Au Chalamila mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ana ugumu gani wa maisha au Paul Makonda
Kanisa kujua watu wanaosali pale wa aina gani kaangalie eneo la kupaki magari watu wakiwa ibadani
Pale kubakwa ilikuwa lazima litokee…..mkusanyiko wa watu wengi na waovu pia hukusanyika kwa nia ovuNinachojua wale Waliobakwa hasa kule Mabondeni kama unaelekea Baharini ni wengi na Walioambukizwa UKIMWI pia.
He 🤪Kuna Dereva Bodaboda kasema Kakaza Mademu Saba na Wanane alitaka Kumjaribu ila Mboo ikamgomea Kudinda.
Amekua mwili tuu ila kiakili bado sanaMke wa baba yangu mdogo alitembea kutoka kawe mpaka tandika kwa miguu, kumuuliza tatizo nini anasema alitoa mpaka nauli kwenye sadaka ya kujimaliza.
Kumbe ni kwelii? Lolnasikia kuna watu walipotea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sadaka ya kujimaliza ndio mbaya, imagine unatoa mpaka nauli unaanza kutembea usiku kurudi nyumbani kwanini usipotee.
Watu weuweeeee!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo Mimi Mkuu na hakuna Mwingine na wala hatokuja kutokea Mwingine hapa JamiiForums. GENTAMYCINE ni Mmoja tu JF nzima.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mke wa baba yangu mdogo alitembea kutoka kawe mpaka tandika kwa miguu, kumuuliza tatizo nini anasema alitoa mpaka nauli kwenye sadaka ya kujimaliza.