Jamani wadau wa elimu mwenzenu yamenikuta naombeni mnisaidie nimeaply mkopo kwenye bodi ya mikopo online
lakini nimefika sehemu naambia kujaza index namba ya form six nami sijasoma form six naingia kwa diploma. Je nitafanyaje? mwenye ufahamu anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.