Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,375
kuna watu huku wananitukana lakini wanakuja pm kunitongoza. but nawablok
Hii kiboko aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna watu huku wananitukana lakini wanakuja pm kunitongoza. but nawablok
Inkhubu, you guys are being so judgmental over his status, at least you gotta give him credit for shouting out his problem to everyone. I don't find it a problem coming out with his usual ID, what if he came out with a new ID seeking for help, would you advice him...or just mock him as you've always done in the past.
Please give him a chance, let him air his problem (at least that's a starting point..a turning point).
Again, kila mtu ni mdhambi, kumnyooshea mwenzako kidole kwa dhambi yake wakati hata wewe unazo nyingi za sirini ni kosa.
Nimekusoma mamito. But my argument is still there...!
Kila mtu ni mdhambi nakubali, lakini reaction yetu kwa dhambi ndo inatuonyesha si ni akina nani...chukua mbuzi na nguruwe watupe kwenye shimo lenye tope then angalia reaction
wakati mbuzi itakuwa ni full kilio akitegemea kilio chake kitasikika, nguruwe will tend kuenjoy kwa kuogelea humo kwenye tope without showing any discomfort!!!
Huyu jamaa yetu mtamusana..mpaka sasa ameshajua kuwa ID yake inawakwaza watu..why do you think he is not ready to part with it? I will tell you why..first, hataki kubadilika, second still anabelieve ye ni mtamu sana, third, anahisi atalose identity..identity ambayo anaicherish ingawa anapretend anataka kuachana na habit inayompa hiyo identity
watu wapo ready kumuelewa..so is it too much to ask him to begin with changing his repulsive ID? Kama kwake ni ngumu kuachana na hiyo ID, how much is it ngumu kwa watu kumuamini kuwa he is genuine?
nimelelewa vizuri ktk misingi ya dini. na wazazi hawajui kadhia hii. ndomana nikataka msaada humu ndani.
utazaa tu shoga .
yaani nilikua naota na tiwa mara kwa mara tangu zamani . asante kwa ushauri
mwanaume anaenivua nguo hakai tz . ni mzungu ila daktari mswahili si unajua mara anakutukana
Thank you Eli79 japo kukomaa bado, tunajifunza woteElizabeth Dominic, utakuwa umekomaa vizuri upstairs. Big up young lady!!
Kwa sifa ulizopewa je unazo?
lakini mie yamekuja haya mambo automatically sikuwa nina act wala sikupata influence ya mtu. wala mimi sijiuzi mie sina shid ya pesa kwetu zipo. hayo matusi yao sijui yanakuwje
asante sana sasa kwa daktari ntaanzaje manake aibu.
Pm yako itajaa nahissss
Mimi ndio kawaida yangu kukurudisha kwenye furaha kabla ya kukupa ushauri nasaha. Hebu nitafute yakhee tuongee uzuri.
Ebu nitafute ninautaalamu na mambo hayo nitafute tuongee