Naomba msaada bila kutukanwa

Naomba msaada bila kutukanwa

Kwani kila bango lazima liandikwe tangazo.. tangazo...??? mengine huwa yanawekwa tuu kila mpitaji anatafsiri kivyake
 
mambo vp?? tatizo ulilopata ww ndilo kimenikuta mm. ndugu yangu nataka kuacha ushoga lakini sijui pa kuanzia. naimba msaada wako mtamusana
 
mtaka ushauri anaonekana hayupO sirious kutokana na majibu yake lakini hili tatzo la ushoga linaonekana likishikA kasi huku matangazo yakitolewa kwa namna mbalimbali .na dawa ya kukumeshA hili tatizo ni jukumu letu siye wanaume kuwakatalia na hatimae watakosa watu wa kufanya nao huo ujinga na mwisho wake wataacha wenyew
 
Kwanza badilidha userID yako. Hautaonekana serious kama unatumia name ile ile na description ile ile.

Maswali yangu ni haya
1. Upo serious?
2. Kwa nini umeamua kubadilika?
3. Una umri gani na elimu gani?
4. Wewe ni wa imani gani
5. Una malengo gani kimaisha?
6. Una malengo gani baada ya kubadilika?
7. Je uko tayari kuhama from homosexuality na kuwa a real man. The kind of man that you were created to be?

8. What are your views on matters of faith?
Do you believe in God?
Wewe na familia yako ni waamnini wa dini ipi?

9. Una marafiki wangapi? Kati ya hao wangapi ni gays na wangapi wanafahamu hali yako

10. Unatambua nini kuhusu mpango wa Mungu katika maisha yako?
How do you view homosexuality in relationship to God.

Ukijibu maswali haya ntaweza kukusaidia zaidi na zaidi. Sitakujudge kwa sababu ushoga ni dhambi sawa lakini sisi wote ni wadhambi kwa namna moja au nyingine (tamaa, uzinzi n.k) na tunahitaji rehema.
About me: i am a youn man, hopefully a medical doctor in a few years to come and ofcourse faith in God plays a huge part in my life (atleast that's what i hope)
I'll see what i can do.
But this is if and only if you are serious about this change you want to make.
Let me also remind you that the rewards exceed the sacrifices you will need to make.

Kama kidhungu hakijakaa fresh my apologies.
Kama unazingua, Go knows what to do, I will pray for your heart to be convicted by the Holy Spirit till when you're left with no other choice but to change.
 
Halafu those who happen to be dads, not all of them, but a significant proportion f em,
the blame weighs heavily on you.
Boys need guidance, need a stable solid dependable father figure , a mentor, someone a boy can tell all the changes he is going through, someone that can help the transition from a boy to a man, and soothe the pains that come with growing

But Noooo!
People think it's a fashion trend getting ladies pregnant dumpin them and leaving all the child rearing responsibilities to the moms, they spend most of their time drunk or under the influence. Your boys cant even trust you with their issues, you think money is everything. Haya ndiyo matokeo yake.
You end up with aberant transitions everywhere instead of boy to man, you have boy to gay, boy to confused young man unsure of his place or worth seeking refuge in God knows what. And these people call themselves dads, that audacity!!!!
Warriors on the frontline turned lazy watchers on the sideline,

Stop making unnecessary acquaintances lead your bloody families the Godly way.

Time for dads to take reigns an be the heads of their families na siyo sidekicks tu kwenye parenting.

A man of God leads his family in the way of the Lord!

End of rant
 
huyu kwa jinsi anavyojisifiaga mtandaoni yuko beyond repair!!!

Mkuu usimhukumu kwa yaliyopita labda kwasasa yupo serious kuacha...kumbuka ule usemi yakale yamepita tazama yamekuwa mapya...haijalishi alikuaje, so let us advice him n at last he may change n become a straight n strong man who fight homosexuality as u do before him
 
Nataka kuacha homosexually mimi ni gay, japo sijulikani naomba dawa ya kuacha kimya kimya kama nilivyokua sijulikani. Nilipotimia teenage nilianza kuwashwa automatically bila influence ya mtu au kitu nikajikuta nimeingia.

Sasa nataka kustaafu ila mchezo umekolea. Je kuna dawa ya kuondoa maradhi ya ushoga? Nipo serious, hebu fanyeni kama limeshatokea, sasa nipeni njia ili niache.

Kuna mmoja alinambia nina homones nyingi sana za kike, nilimuuliza umejuae hayo?
Akanijibu hivi ifuatavyo;

1. Wewe mzuri sio hendsam.

2. una macho yakuvutia sana wakati wewe mwanaume.

3. Umbile lako lina vutia sana chini.

Jamani kuambiwa Hiyvo niliangua kilio.

NB: Ushauri tu nachukua, matusi sio mazuri
jina lako linaAKISI ulivyo. fanya Sex reassignment surgery uwe mwanamke kabisa
 
Kwanza kwa kujiita MTAMU SANA tu,inaonekana unapenda na unajivunia kuwa hivyo ulivyo!
 
wewe mtamusana wewe mara ngapi tumegongana kwenye nyuzi ukijisifia shughuli unaiweza kuliko sisi

ACHA UFALA WEWE

kuna siku umecoment kwamba umetoka kutoa shughuli hapo ulipo umechoka hujiwezi??????

unakumbuka hii coment??????????

naomba Tyta kama upo online nisaidie kuliabisha hili bwabwa

alafu unasema nitazaa senge kama wewe????


wewe ujazaliwa shoga BALI NJAAA TU ZA MJINI NDO ZINAZOKUSUMBUA

Kumbe masai DADA hua anakasirika aisee!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom