Naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu

Naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
394
Reaction score
834
__nilivaa singlendi nikawa nafanya kazi juani (maeneo hayo jua lilikua linapiga sana coz yalikua maeneo yawazi ) usiku wake mwili ukawa unawasha asubui yake naona mwili umejichora weusi (hio sehemu ya singlendi ningozi yangu halisi__hio ingine nisehemu ilioharibiwa na jua) naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu
IMG_9902.jpg
 
Back
Top Bottom