Naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu

Naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu

Pole sana Mkuu.

Ultraviolet rays kutoka kwa jua ni kali sana. Usipendelee kukaa juani maana ngozi yako itaharibika zaidi. Kama itabidi, basi tafuta sunscreen kutoka kwenye maduka ya dawa na vipodozi vitakusaidia kupunguza makali ya jua.

Kwa sasa, kuna njia nyingi za kukusaidia.

1. Kwanza jiepushe mbali na jua kali. Ngozi yako baada ya muda itajirudi katika hali yake ya kawaida. Jitahidi sana kuhakikisha ya kuwa mwanga mkali wa jua haswa kuanzia saa 4 huko Dar mpaka saa 11 halikupigi moja kwa moja. Inaweza kuchukua muda lakini utapona.

2. Zipo sabuni za kuogea. Mfano kojic acid soap. Unaweza kumtembelea binti mmoja kwa jina la Niffer, nadhani anauza. Ama duka linalouza vipodozi genuine lililo karibu nawe. Hata hivyo, sabuni hiyo yaweza kukung'arisha. Kama hupendelei basi tumia ukishaona hupend matokeo yake acha..

3. Tumia dawa ya kupaka (inaweza kuwa cream, ya maji, ama vidonge(Isotretinoin,acitretin) yenye retinoid. Hii unapakaa maeneo ambayo yameathirika. Huko mabegani kwako na mikononi karibia na makwapani, nk. Kama ni vidonge, utapewa kulingana na umri nk.

Kuna njia zingine ila nadhani huko hazipo. Ila jambo lako siyo serious sana. Utapona kwa wakati.

Kama jua ni la siku moja basi tambua ngozi yako ni very sensitive.
 
__nilivaa singlendi nikawa nafanya kazi juani (maeneo hayo jua lilikua linapiga sana coz yalikua maeneo yawazi ) usiku wake mwili ukawa unawasha asubui yake naona mwili umejichora weusi (hio sehemu ya singlendi ningozi yangu halisi__hio ingine nisehemu ilioharibiwa na jua) naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yanguView attachment 2934149
Dawa ya nini sasa we mjamaa.
Vaa shati usipigwe jua mwili utarudi kama kawaida.
 
Pole sana Mkuu.

Ultraviolet rays kutoka kwa jua ni kali sana. Usipendelee kukaa juani maana ngozi yako itaharibika zaidi. Kama itabidi, basi tafuta sunscreen kutoka kwenye maduka ya dawa na vipodozi vitakusaidia kupunguza makali ya jua.

Kwa sasa, kuna njia nyingi za kukusaidia.

1. Kwanza jiepushe mbali na jua kali. Ngozi yako baada ya muda itajirudi katika hali yake ya kawaida. Jitahidi sana kuhakikisha ya kuwa mwanga mkali wa jua haswa kuanzia saa 4 huko Dar mpaka saa 11 halikupigi moja kwa moja. Inaweza kuchukua muda lakini utapona.

2. Zipo sabuni za kuogea. Mfano kojic acid soap. Unaweza kumtembelea binti mmoja kwa jina la Niffer, nadhani anauza. Ama duka linalouza vipodozi genuine lililo karibu nawe. Hata hivyo, sabuni hiyo yaweza kukung'arisha. Kama hupendelei basi tumia ukishaona hupend matokeo yake acha..

3. Tumia dawa ya kupaka (inaweza kuwa cream, ya maji, ama vidonge(Isotretinoin,acitretin) yenye retinoid. Hii unapakaa maeneo ambayo yameathirika. Huko mabegani kwako na mikononi karibia na makwapani, nk. Kama ni vidonge, utapewa kulingana na umri nk.

Kuna njia zingine ila nadhani huko hazipo. Ila jambo lako siyo serious sana. Utapona kwa wakati.

Kama jua ni la siku moja basi tambua ngozi yako ni very sensitive.

Ahsante kwaushauri mkuu
 
Ww ushawai kukukuta..?
Inawakuta watu wengi unakuta sehemu unayofunika muda wote ambayo haipigwi jua ni nyeupe kuliko ambayo ipo wazi.

Labda tu wewe ngozi yako ipo sensitive zaidi kutokea hivyo kwa siku moja.
Itarudi normal bila dawa yoyote. Ni madhara ya jua kali
 
Elimu Elimu Elimu hivi unavaaje nguo ya wazi unaenda juani aisee umepata skin burn sababu ya mionzi ya jua wabongo sijui niseme wa Africa hatuogopi jua wenzetu lazima apakae sun protection sunscreen 🧴 usoni mwilini.

Endelea kujiweka juani soon skin cancer inakuita.

Hakuna dawa kunywa maji ya kutosha pakaa skin moisturizer body lotion or cream.

Tafuta sunscreen cream na lotion uwe unapakaa kama waingia juani wengi waona ni wanawake ndo wa kupaka hio.
 
Inawakuta watu wengi unakuta sehemu unayofunika muda wote ambayo haipigwi jua ni nyeupe kuliko ambayo ipo wazi.

Labda tu wewe ngozi yako ipo sensitive zaidi kutokea hivyo kwa siku moja.
Itarudi normal bila dawa yoyote. Ni madhara ya jua kali

Au niache kabisa kuvaa vest
 
__nilivaa singlendi nikawa nafanya kazi juani (maeneo hayo jua lilikua linapiga sana coz yalikua maeneo yawazi ) usiku wake mwili ukawa unawasha asubui yake naona mwili umejichora weusi (hio sehemu ya singlendi ningozi yangu halisi__hio ingine nisehemu ilioharibiwa na jua) naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yanguView attachment 2934149
Huwa inaisha yenyewe ipe wiki kadhaa ni hali ya kawaida tu hiyo haina haja ya madawa.
 
Elimu Elimu Elimu hivi unavaaje nguo ya wazi unaenda juani aisee umepata skin burn sababu ya mionzi ya jua wabongo sijui niseme wa Africa hatuogopi jua wenzetu lazima apakae sun protection sunscreen [emoji3467] usoni mwilini.

Endelea kujiweka juani soon skin cancer inakuita.

Sikua najua hilo__nashukuru kwa maelezo yako so nn kifanyike baada ya tatizo kutokea
 
Kwamba baada yamuda itakaa sawa ama unamaanisha watu wengi huwatokea hiyo hali..?
Ukivaa nguo ya kufunika kama ambavyo umezoea siku zote utarudi kuwa sawa.

Next time paka suncreen kabla hujakaa juani.
 
Elimu Elimu Elimu hivi unavaaje nguo ya wazi unaenda juani aisee umepata skin burn sababu ya mionzi ya jua wabongo sijui niseme wa Africa hatuogopi jua wenzetu lazima apakae sun protection sunscreen 🧴 usoni mwilini.

Endelea kujiweka juani soon skin cancer inakuita.
Melanin deposition matters , dark skin tuna kiwango kikubwa cha melanin kwenye ngozi hivyo hatuna haja ya kuogopa demage inayotokana na mionzi ya jua contrast to caucassians .


I
 
Hiyo nyeusi ndio rangi yako mkuu, hiyo nyeupe ni matokeo ya joto. jaribu kuvaa sendoz sehemu zilizofunikwa na ngozi ndio huwa shiny. we pambana urudishe weusi wako maana unataka kujichubua kwa maelezo yako.
 
Usijidanganye tuna melanin kiwango kikubwa nawaona wabongo kibao wanaungua uso wanaume Kwa wanawake na angalau wanaume hawapaki lighting cream wale wa lighting cream lotion waungua zaidi akiingia juani anarudi mweusi binafsi nimekuwa sensitive sunscreen nikipaka niki sweat 💦 nawashwa ngozi natoka acne nimeacha nikipogwa jua nakuwa mweusi mpaka watu waniambia umekuwa mweusi ila nikitulia ndani nakaa sawa.
Melanin deposition matters , dark skin tuna kiwango kikubwa cha melanin kwenye ngozi hivyo hatuna haja ya kuogopa demage inayotokana na mionzi ya jua contrast to caucassians .


I
 
Hiyo nyeusi ndio rangi yako mkuu, hiyo nyeupe ni matokeo ya joto. jaribu kuvaa sendoz sehemu zilizofunikwa na ngozi ndio huwa shiny. we pambana urudishe weusi wako maana unataka kujichubua kwa maelezo yako.

Ahsante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom