Naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu

Naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu

Ahsante sana doctor mtoto wamama kizimkazi (kwahiyo hiyo nn nifanye __yan nitumie nn kutibu hili __dawa ama niache kukaa juani tatizo litaisha lenyeww
Kuna Lotion nimeandika hapo..
Au ukienda maduka ya Vipodozi au maduka makubwa ya Pharmacy walio na vipodozi ulizia Hyperpigmentatiom Cream..

Na juani hilo ni given..usikae sana mkuu Fanyia Kazi kivulini..
 
Kuna Lotion nimeandika hapo..
Au ukienda maduka ya Vipodozi au maduka makubwa ya Pharmacy walio na vipodozi ulizia Hyperpigmentatiom Cream..

Na juani hilo ni given..usikae sana mkuu Fanyia Kazi kivulini..

#sawa mkuu nitajitahidi__mana sisi wengine machinga bila kutembea juani bado hujapata hela
 
Ogea sabuni hii ilinisaidia sana kipindi nipo Zanzibar jua lilikuwa ni Kali mno! na joto la kubabua ngozi 👇👇
 

Attachments

  • IMG-20240310-WA0031.jpeg
    IMG-20240310-WA0031.jpeg
    1.4 MB · Views: 3
Wakati ule nilikuwa nanunua Tsh. 3,500/, sijui kwa sasa itakuwa inauzwa hela ngapi maana ni muda umepita
 
Naww uliungua kabisa kama mm..?
Niliungua ngozi hasa mgongoni hadi vilitokea vipele vikasababisha vidonda ,na vilikuwa vinauma hatari. Lakini nilipoanza kuogea hiyo sabuni haikuchukua muda mrefu vilipona na sikusumbuliwa tena
 
Niliungua ngozi hasa mgongoni hadi vilitokea vipele vikasababisha vidonda ,na vilikuwa vinauma hatari. Lakini nilipoanza kuogea hiyo sabuni haikuchukua muda mrefu vilipona na sikusumbuliwa tena

#sawa nitajaribu kutumia hii__ila ww naisi tatizo lako lilikua kubwa kias kunizidi mm
 
__nilivaa singlendi nikawa nafanya kazi juani (maeneo hayo jua lilikua linapiga sana coz yalikua maeneo yawazi ) usiku wake mwili ukawa unawasha asubui yake naona mwili umejichora weusi (hio sehemu ya singlendi ningozi yangu halisi__hio ingine nisehemu ilioharibiwa na jua) naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yanguView attachment 2934149
Hiyo ni effect ya jua kutokana na kufanya kazi juani mda mrefu. Sehemu nyeusi ni maeneo ambayo miali ya jua ilipiga kwa wingi zaidi na hyo sehemu iliyojichora singled ni sehemu ambayo miali ya jua ilipunguzwa nguvu kwa uwepo wa singlend.. Kunaweza kukawa na dawa ya kukusaidia kupaka, lakini hata hivyo isikupe sana wasiwasi, kwani hali kama hiyo hupotea baada ya muda mfupi kama wiki moja au mbili hivi na kurudi katika hali yako ya kawaida. Kwa wale wenye uzoefu wa kufanya kazi juani nafikiri wanaelewa sana hili
 
Hapo nadhani umepata mwongozo. Usisahau feedback.
 
DR Mambo Jambo yaani inabidi JF IANZE kumlipa😂😂😂😂
Kila mtu akiwa na tatizo ni DR Mambo Jambo , mwanangu ana kikohozi, ngozi yangu imechubuka baada ya kutumia cream dr mambo jambo msaada wako, dr mambo jambo mwanangu ana kikohozi na akiwa anakohoa anatabasamu, dr mambo jambo nimesahau Kuchoma sindano ya power nitakufa dr au nitaendelea kuishi?
🤣🤣🤣🤣
Mwisho na mm Nina shida
DR Mambo Jambo mimi rafiki yangu akija akasema njoo tuongee nina shida nikimuangalia tu usoni lazima nimecheke hata kama kweli yupo na tatizo, ila nikimuona usoni kawa serious na nishazoea kutaniana naye lazima nicheke
Dr mambo jambo msaada wako
 
DR Mambo Jambo yaani inabidi JF IANZE kumlipa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila mtu akiwa na tatizo ni DR Mambo Jambo , mwanangu ana kikohozi, ngozi yangu imechubuka baada ya kutumia cream dr mambo jambo msaada wako, dr mambo jambo mwanangu ana kikohozi na akiwa anakohoa anatabasamu, dr mambo jambo nimesahau Kuchoma sindano ya power nitakufa dr au nitaendelea kuishi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwisho na mm Nina shida
DR Mambo Jambo mimi rafiki yangu akija akasema njoo tuongee nina shida nikimuangalia tu usoni lazima nimecheke hata kama kweli yupo na tatizo, ila nikimuona usoni kawa serious na nishazoea kutaniana naye lazima nicheke
Dr mambo jambo msaada wako

#hahahahaha uchapwe mpaka ufe
 
N
Duh porn za zamani ndiyo ilikua unakuta porn actress akivua bra au pant anakua hivi.

Nenda pharmacy ugewe dawa
Nilitaka kuongea hivi hivi mkuu. Ume nikumbusha mbali Wewe.... 😂😂😂
 
Back
Top Bottom