Naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu

Strong25

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2021
Posts
394
Reaction score
834
__nilivaa singlendi nikawa nafanya kazi juani (maeneo hayo jua lilikua linapiga sana coz yalikua maeneo yawazi ) usiku wake mwili ukawa unawasha asubui yake naona mwili umejichora weusi (hio sehemu ya singlendi ningozi yangu halisi__hio ingine nisehemu ilioharibiwa na jua) naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…