Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa.kama hivi au?
[COLOR=rgb(44, 130, 201)]Nini mbayaaa[/COLOR]inafikirisha Sana
Dr za mda huu..?
Unamaabisha Hivi au unamaanisha HIVI basi Kama ni.hivyo sio kazi ngumu sana...Ndugu zangu wana Jf, naomba msaada jinsi ya ku highlight, kuweka rangi nk, humu Jf.
Ahsante.
Salama , uzima upo nisijue wewe hapo .Dr za mda huu..?
Uzima upo mkuu
Si unielekeze sasa?Mbona kazi ndogo sana hiyo kijana. Unakwama wapi.
Ila pambaba utajua tu
Niko safi dactar..Salama , uzima upo nisijue wewe hapo .
Hapo sawa, nielekeze sasa.Unamaabisha Hivi au unamaanisha HIVI basi Kama ni.hivyo sio kazi ngumu sana...
Au wewe unaonaje
Shida ?Niko safi dactar..
Samahani dactar nje ya mada kuna shida hapa...?
Ahsante, Mkuu.Pole sana mkuu....
Hapo penye herufi B afu I then gusa hivyo vialama vyenye doti 3 ...zitatokea alama hizo zilizoanzoa T fupi na ndefu ...sasa gusa hiyo alama ya kirobotatu duara chenye vidoti vinne ndani yake.... Ndo utachagua rangi kabla ya kutype.
Umeelewa?Hapo sawa, nielekeze sasa.
Mkuu ni mara ya pili kila baada ya sex anaingia heavy bread..Shida ?