Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa vizuri sana.Ahsante, Mkuu.
Shida IPO hapoMkuu ni mara ya pili kila baada ya sex anaingia heavy bread..
Alafu anasema ni kawaida tuu.....
Barikiwa 👊Nimekuelewa vizuri sana.
Mkuu hapo ulimaanisha kutoa damu nyingi ? Naona umeandika bread ?Mkuu ni mara ya pili kila baada ya sex anaingia heavy bread..
Alafu anasema ni kawaida tuu.....
Kama period hv...Mkuu hapo ulimaanisha kutoa damu nyingi ? Naona umeandika bread ?
Kama ni hivyo hiyo itakuwa ni shida
Atakuwa anaumwa Ila Kama unavyojua utamaduni wetu MTU akiona ameumwa na hawezi kuamka kitandani ndo anaamini anaumwa Kweli.Kama period hv...
Duh Hiyo shida Ina Muda Gani?Kama period hv...
Sawa mkuu..Atakuwa anaumwa Ila Kama unavyojua utamaduni wetu MTU akiona ameumwa na hawezi kuamka kitandani ndo anaamini anaumwa Kweli.
Mpeleke Kwa mtaalamu
Mkuu mwezi sasa ila mi nikawa najua kawaida labda maana kuna mda alisema sijui huwa nafanya kwa nguvu ndo mana inatokea vileDuh Hiyo shida Ina Muda Gani?
Sawa mkuu..
Nikajua tapata info kidogo. Ila sawa ngoja tuone..
Kusema kumpeleka hosp uwongo mana ni mtu mzima nina ushawishi mdogo kwake
Nahisi anatumia simu kuandikaUnamaabisha Hivi au unamaanisha HIVI basi Kama ni.hivyo sio kazi ngumu sana...
Au wewe unaonaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli jamii forum bwana ni mkusanyiko wa great thinker,wapuuzi,watoto,masikini,matajiri,wajinga na vichaa ndani yake