tekategula
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 171
- 96
Hapa ndo hupati mtu ng'o tusha stkia[emoji15] [emoji15]Wakubwa shikamooni, wenzangu mambo zenu... mi ni memba mpya wa JF, naomba mnisaidie kunielekeza mambo ya muhimu humu ndani ili na mimi nisionekane mshamba... ahsanteni sana
Pussy mongers utawajua tu!!!Njoo pm nikuelekeze
Pussy mongers utawajua tu!!!
Cha msingi jua apa si Fasibuku..!!Wakubwa shikamooni, wenzangu mambo zenu... mi ni memba mpya wa JF, naomba mnisaidie kunielekeza mambo ya muhimu humu ndani ili na mimi nisionekane mshamba... ahsanteni sana
Umeonaeee basi usione wivu[emoji12]Pussy mongers utawajua tu!!!
Hujui kuwa maisha ni siasa,dick mongermi siasa siyo sana cpend, napenda kujua tu sana kuhusu maisha
Labda anataka kujua aina za dick a.k.a dusheDogo asili ya jf ukiwa mgeni kuwa mpole na mtiifu ukileta fyoko unazimwa kama moto wa gesi.
HAYA NI KIPI UNATAKA NIKUFUNDISHE?
Huwa nafurahi sana kusoma comments zako yaniPussy mongers utawajua tu!!!
Kwi! Kwi! Kwi!pm ndiyo wapi we mkaka
ivi JF, kumbe watoto wapo?? wengine utakuta mi bibi wanajifanya watoto.mtaflotisha pm ya huyu mtt sasa
Multiple ID's
Hivi mods hawawezi kuzuia watu kuwa na ID kibao maana wanatuchosha sasa unakuta unachat na watu Kama wanne hivi huko pm alafu unakuta kumbe ni mmoja sema ana Id 3 anakuchora tuNaona mtu kaamua kuwachora watu
Yaroweke kwenye maji yatalainika tu.Ahsante thatsit, ila humu watu wana majina magumu
Huyu anacheza tu na akili zetu hilo nimeshaligundua toka kitambo angekuwa ni new member hata kujibu post zetu ingekuwa ni taabu huyu kaja tu kwa id mpya ila ni member mzoefu.Labda anataka kujua aina za dick a.k.a dushe
Tapel nani tenaHata wewe ni tapeli, new member gani mkongwe wewe
Hahahaha acha kunichekesha. Wa tzWewe wa royal family ipi ya kiarabu au ya UK?😉😀
Umejaribu kujificha ila nimeshakugundua na hiyo ID yako fake,naona kuna sehemu unajiquote na kujijibu wewe mwenyewe!! Hii ndio jf acha huo ujinga.Wakubwa shikamooni, wenzangu mambo zenu... mi ni memba mpya wa JF, naomba mnisaidie kunielekeza mambo ya muhimu humu ndani ili na mimi nisionekane mshamba... ahsanteni sana