Ndungu zangu poleni na majukumu,Kwaa wale wataalamu wa nyanya naombeni msaada wa haraka juu ya hali hii inayoitesa nyanya yangu,ili angalau niweze kuiokoa.
1.Nyanya inanyauka majani kuanzia chini kwenda juu.
2.Maua yananyauka na kudondoka.
3.Maua yanakaa mda mrefu bila kutoa matunda.
aina ya mbengu ni asira, hali ya hewa iliyopo kwa sasa ni jua kali, vumbi sana na upepo mkali mda wote.
KIlimo ni chaumwagiliaji.
Natanguliza shukrani kwa yeyyote anaeweza nipatia ushauri au namna ninayoweza kuiokoa hii nyanya.
1.Nyanya inanyauka majani kuanzia chini kwenda juu.
2.Maua yananyauka na kudondoka.
3.Maua yanakaa mda mrefu bila kutoa matunda.
aina ya mbengu ni asira, hali ya hewa iliyopo kwa sasa ni jua kali, vumbi sana na upepo mkali mda wote.
KIlimo ni chaumwagiliaji.
Natanguliza shukrani kwa yeyyote anaeweza nipatia ushauri au namna ninayoweza kuiokoa hii nyanya.