Naomba msaada, kuna muda nachat na mtu mwingine ila naambiwa na mpenzi wangu kila tunachochat

Naomba msaada, kuna muda nachat na mtu mwingine ila naambiwa na mpenzi wangu kila tunachochat

flynn05

Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
63
Reaction score
93
Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kuwa hivi wakati flani, nilikuwa nakipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi niliyekua nae, nikawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nilienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.

Tunaishi mbali mbali so inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu.
 
Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
Amekudukua, badili line
 
Back
Top Bottom