Naomba msaada, kuna muda nachat na mtu mwingine ila naambiwa na mpenzi wangu kila tunachochat

Naomba msaada, kuna muda nachat na mtu mwingine ila naambiwa na mpenzi wangu kila tunachochat

Kuna njia mbili za haraka.

1. Factory Reset. Utapoteza vitu na simu itaanza upya. Hii ni njia ya haraka kwa ambae sio mtaalamu wa simu.

2. Ingia settings halafu apps, sort app list yako kwa downloaded. Angalia app ambayo hukumbuki kuwa kuidownload iondoe.

Apps za kutrack simu mara nyingi zikiwa installed huwa zinatumia majina ya kijanja kidogo ambayo kwa mtu ambae sio mtaalamu wa simu zinaweza kukuzingua kidogo.

Pia kuna njia ya muda. Zuia background data. Hizi apps zinarun background na zinategemea bando lako kwa ajili ya kutuma taarifa.
 
Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
Mdukuo huo aisee
 
Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
Hiyo device unayotumia ulinunua mwenyewe dukani au alinunua yeye na kukupa kama zawadi? Nadhani tuanzie hapo.

Kwani kuna App fulani ikiingizwa kwenye simu huwa inajificha, na kazi yake ni kupeleka taarifa kwenye email iliyounganishwa nayo.

Taarifa inazopeleka ni mawasiliano yoyote yanayofanywa katika hiyo simu, pia hutuma picha mara kwa mara za kamera ya selfie.

Kwa ushauri, badilisha simu.

Ova
 
Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
uyo dem proxy ima kapewa no na mwanamke wako akuzngue umejaa au mwanamke wako ana line nyingne anakubadlishia saut anakuchezea chakufanya hapo mkatie uyo mwngne kopi
 
Kuna njia mbili za haraka.

1. Factory Reset. Utapoteza vitu na simu itaanza upya. Hii ni njia ya haraka kwa ambae sio mtaalamu wa simu.

2. Ingia settings halafu apps, sort app list yako kwa downloaded. Angalia app ambayo hukumbuki kuwa kuidownload iondoe.

Apps za kutrack simu mara nyingi zikiwa installed huwa zinatumia majina ya kijanja kidogo ambayo kwa mtu ambae sio mtaalamu wa simu zinaweza kukuzingua kidogo.

Pia kuna njia ya muda. Zuia background data. Hizi apps zinarud background na zinategemea bando lako kwa ajili ya kutuma taarifa.
Ngoj ni restore
 
Hiyo device unayotumia ulinunua mwenyewe dukani au alinunua yeye na kukupa kama zawadi? Nadhani tuanzie hapo.

Kwani kuna App fulani ikiingizwa kwenye simu huwa inajificha, na kazi yake ni kupeleka taarifa kwenye email iliyounganishwa nayo.

Taarifa inazopeleka ni mawasiliano yoyote yanayofanywa katika hiyo simu, pia hutuma picha mara kwa mara za kamera ya selfie.

Kwa ushauri, badilisha simu.

Ova
Hii sim ni yangu, na mara kadhaa nakua nay mm, ila juz ndo nlimpa mda mchache bdae nkachukua...sas usiku wa kuamkia leo, nlikua nachat na mwingn ko akanambia ila bdae akatum mpk mesej zot
 

Attachments

  • Screenshot_20240916_141243_Messages.jpg
    Screenshot_20240916_141243_Messages.jpg
    40.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20240916_141311_Messages.jpg
    Screenshot_20240916_141311_Messages.jpg
    19.6 KB · Views: 4
Jaribu kuangalia device pairing maana hicho kitu kipo kwenye google messages.
Itakuonesha device ambayo na yenyewe inapokea na kutuma meseji.
 
Jee hii app inafanya kazi kwa call na sms za kawaida tu au ht za WhatsApp? Na jee sio kosa kisheria?
 
Back
Top Bottom