Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa ulisoma fani inayohusiana na mambo ya kinjektile ngwale.Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
Restore simu yako, badili na laini,Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
Huyo mwanamke ana upendo uliopitiliza, atakuja kumlisha madawa, pwaaaaaaNaunga mkono hoja kijana kadukuliwa huyo na ile app
Ya kulipia kutrack sms
😂😂 kanaitwaje mkuu na unalipia kila mwezi?Sema kale ka app flani chonganishi kale ni afu thalatini yako tu chap unatumiwa kila kitu mpaka akibipiwa inakwambia hapa kanipiwa hajapigiwa , shwaain
Umeshadukuliwa afsa! Kama ni WhatsApp fanya hiviEe hata juz alishika, ila toka juzi sijaonana nae, na jana nlikua nachat na mwingn alaf yeye akanitumia izo msj karibia zot😥
We ni demuMbn matus tena bngwa, shida nini hapo?!