Naomba msaada, kuna muda nachat na mtu mwingine ila naambiwa na mpenzi wangu kila tunachochat

Naomba msaada, kuna muda nachat na mtu mwingine ila naambiwa na mpenzi wangu kila tunachochat

Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
Itakuwa ulisoma fani inayohusiana na mambo ya kinjektile ngwale.
 
Jamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
Restore simu yako, badili na laini,
🦠Kwisha...
Huyo mpenzi wako anakupenda sana ila ana roho mbaya utakuja kulishwa madawa
 
Ee hata juz alishika, ila toka juzi sijaonana nae, na jana nlikua nachat na mwingn alaf yeye akanitumia izo msj karibia zot😥
Umeshadukuliwa afsa! Kama ni WhatsApp fanya hivi
1726552603200.png

1726552629787.png
 
Back
Top Bottom