Amekudukua, badili lineJamani naomba msaada hii naona kama imekaa vibaya sana kwangu, iliwahi kua hivi wakati flani, nlikua nkipigiwa simu, moja kwa moja anapokea mpenzi nliekua nae, nkawa naambiwa ila sikuzingatia maana nilijua haiwezekani, ila hili swala limejitokeza tena, mwanamke nlienae sasa hivi nae anasoma meseji zangu na ananitumia.... tunaishi mbali mbali ko inanichanganya inakuaje meseji zangu na kwake zinaenda, na hii imenitokea jana usiku, naomba msaada wakuu
Kwisha habari!! 😂😂Ee hata juz alishika, ila toka juzi sijaonana nae, na jana nlikua nachat na mwingn alaf yeye akanitumia izo msj karibia zot😥
Mh, mwanaume mzima unaitika hivi!!!!! Au umeamua kuchangamsha genge coz umekaa kama mwanamke hivi!Ee hata juz alishika
Haujui hahahahaNisaidie namn ya kufanya, maana nlikataa ila nkaanza kuwaza imekuaje au kam naweza na mimi nimfanyie ivo
Hapo amekuwekea spy app kwenye hiyo simu yako au tunaweza sema amehack ngoja nikuitie wataalamu waje kukusaidiaNisaidie namn ya kufanya, maana nlikataa ila nkaanza kuwaza imekuaje au kam naweza na mimi nimfanyie ivo
Naunga mkono hoja kijana kadukuliwa huyo na ile appHapo amekuwekea spy app kwenye hiyo simu yako au tunaweza sema amehack ngoja nikuitie wataalamu waje kukusaidia
Rayns Mad Max na Vincenzo Jr mje mumsaidie huyu mwamba hapa