NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
mkuu sikupingi ila nadhani umechanganya majina. hiyo uliyo itafsiri kama shubiri, aloe vera huo ni mti mwengine kwa kiswahili unaitwa kizima mlio,na hiyo haba soda umesema black cummin la sio hiyo ni black seed. black cummin na black seed ni vitu 2 tofauti.ila sifaham shubiri kwa kizungu inaitwaje.
mkuu sikupingi ila nadhani umechanganya majina. hiyo uliyo itafsiri kama shubiri, aloe vera huo ni mti mwengine kwa kiswahili unaitwa kizima mlio,na hiyo haba soda umesema black cummin la sio hiyo ni black seed. black cummin na black seed ni vitu 2 tofauti.ila sifaham shubiri kwa kizungu inaitwaje.
Ndg ALOE VERA ndio SHUBIRI.
Iwe SHUBIRI MWITU au SHUBIRI zote ni ALOE VERA na zipo aina zaidi ya tano za shubiri
Mkuu Yasini_waziri Mwambie mama atumie Dawa moja kati ya dawa hizi Zitamsaidia.A.aleikhum napata faraja kwakupata hekima zenu za bila choyo mimi mama yangu asumbuliwa sana na sukari ya kupanda hufika mpaka 24 pia bp yake hufika mpaka 240 tulikopita hosp za rufaa zote ni dawa gani za kiarabu atumie
11}ustadhi mzizi tusaidie orodha ya madawa ya kiarabu tunaweza pata wapi kwenye web gani yenye tafisi ya kiswahili
Bibie Mwanaweja unaweza kututajia Dawa hii kwa kiingereza (Bakalhadi)?angalieni pia majina mengine hayo hapo
Black pepper – pilipili manga
Cardamom – iliki
Caraway – Kisibiti
Cilantro – dania (majani ya giligilani)
Cinnamon – Mdalasini
Cloves – karafuu
Coriander seeds – giligilani /Kitimiri
Cumin – binzari ya pilau
curry – binzari
Ginger – Tangawizi
Lemon grass -mchaichai
Nutmeg – kungumanga
Saffron – zafarani
Sweet peppers – pilipili hoho
Turmeric – binzari manjano
kizimkazi unajuwa mimi ni Mtaalamu wa hizi dawa nina ujuzi nazo sasa yapata miaka 30 tangu mwaka 1979 ninazijuwa na sio hizo tu 5 mimi ninazijuwa zaidi ya Dawa 20 kama hizo zinaitwa Dawa za Kiarabu na asili yake zinatoka india na Uarabuni na baadhi zipo hapo Tanzania na zinatibu maradhi ambayo yameshindikana kutibiwa Mahospitalini kaa Maradhi ya Wendawazimu,Pumu,Kisukari,Kifafa,Ugonjwa wa Kansa,Nguvu za Kiume,Kupata Uzazi kwa mwanamke asieshika Mimba, Ugonjwa wa kiharusi,Ugonjwa wa kupooza mwili upande mmoja,Kukosa usingizi,Mtu mwenye Mapepo wabaya,Marashi ya Moyo,na Ugonjwa wa wasiwasi na maradhi Mengi yasiyotibiwa Mahospitali. Sasa Kizimkazi umenitia Hasira Nakutaji hizo dawa Alizoomba jamaa juu SHUBIRI KWA KIINGEREZA INAITWA ALOE VERA ANGALIA HII PICHA
Ya pili inaitwa Uwatu kwa Kiingereza inaitwa
(Fenugreek) Angalia picha
NA HIYO INAYOITWA Habbal sauda KWA KIINGEREZA INAITWA NI black Cumin seed ANGALIA PICHA YAKE CHINI
HAYA NAKUTAFSIRIA NA HIYO INAYOITWA Manimani KWA LUGHA YA KIINGEREZA INAITWA MYRRH ANGALIA PICHA YAKE HAPO CHINI HIYO Myrrh
HAYA NIMEBAKIZA MOJA INAYOITWA Bakalhadi NDUGU kizimkazi NITAJIE HIYO BAKALHADI KWA KIINGEREZA NA UONYESHE PICHA YAKE? TAFADHALI NINAKUACHIA WEWE HIYO BAKALHADI ASANTENI SANA.
aloe vera picture - Google Search
fenugreek - Google Search
Black cumin Pictures
Myrrh Pictures
mzizimkavu thank you so much yaani hapo hata mie nilikuwa sijui shubiri kumbe ndo Alovera zingine hizo ndo kasheshe
MziziMkavu
Ni ipi njia salama ya kupunguza uzito/obesity ya asili?[/QUOTE]
Njia salama ya kupunguza uzito kitambi na unene fanya mazoezi ya mwili.Tembea sana kwa miguu. kimbia kimbia kila siku asubuhi unapo amka Ruka ruka kwa kamba, kunywa maji ya uvuguvugu uchanganye na Asali safi ya nyuki kijiko 1 kisha unakamulia ndani yake limao1 unakunywa kila siku
asubuhi kabla ya kula kitu . Ukitaka kupunguwa kwa kila mwisho wa mwezi kilo 4 Dawa mimi ninayo ya kukupunguza huo mwili wako kitambi, uzito na unene Hebu tembelea bonyeza hapa.DAWA YA KUPUNGUZA UNENE MAFUTA NA TUMBO
Ukitaka hii Dawa Bonyeza hapa.DAWA YA KUPUNGUZA UNENE MAFUTA NA TUMBO