Bexb JF-Expert Member Joined Oct 24, 2016 Posts 715 Reaction score 1,619 Mar 17, 2024 #1 Habari ya jumapili wakuu. Naomba msaada wa maelekezo toka kwa mtu aliyewahi kusajili mradi chini ya Tanzania Investment Centre (TIC). Ninahitaji kujifunza jambo kwa uhalisia wake hasa katika maandalizi ya nyaraka zinazohitajika.
Habari ya jumapili wakuu. Naomba msaada wa maelekezo toka kwa mtu aliyewahi kusajili mradi chini ya Tanzania Investment Centre (TIC). Ninahitaji kujifunza jambo kwa uhalisia wake hasa katika maandalizi ya nyaraka zinazohitajika.
N NorthFace Member Joined Dec 7, 2022 Posts 56 Reaction score 52 Mar 24, 2024 #2 Nami nasubiri kupata ABCs hapa