mjasiria2mbo
Member
- Apr 23, 2014
- 43
- 18
Jambo la kwanza nina mtoto wa miez 3,huyu mtoto anacheua utadhan anatapika sijui tatizo ni nini??? Tatizo la pili...... Bado sijaanza period ila kama wiki mbili zilzopita nilikutana na mume wangu sasa je,kuna uwezekano wa kuwa nimepata mimba?? Na je,kukutana na mume wangu kunaweza leta tatizo lolote kwa mtoto???? Asanteni!
Jambo la kwanza nina mtoto wa miez 3,huyu mtoto anacheua utadhan anatapika sijui tatizo ni nini??? Tatizo la pili...... Bado sijaanza period ila kama wiki mbili zilzopita nilikutana na mume wangu sasa je,kuna uwezekano wa kuwa nimepata mimba?? Na je,kukutana na mume wangu kunaweza leta tatizo lolote kwa mtoto???? Asanteni!
mjasiria2mbo, Kama hauko tayari kuwa na mtoto mwingine ni vizuri sana kutumia condom au njia zozote za uzazi wa mipango, aliyosema ng`wana ong`wa kulwa ni sawa ila sio 100% safe.
Asante Mkuu Ng'wana ong'wa kulwa!! Ngoja mpunguzie kunyonya japo ni mbishi hatari!!! Asante sana