mjasiria2mbo
Member
- Apr 23, 2014
- 43
- 18
Jambo la kwanza nina mtoto wa miez 3,huyu mtoto anacheua utadhan anatapika sijui tatizo ni nini!
Tatizo la pili...... Bado sijaanza period ila kama wiki mbili zilzopita nilikutana na mume wangu sasa je,kuna uwezekano wa kuwa nimepata mimba??
Na je,kukutana na mume wangu kunaweza leta tatizo lolote kwa mtoto?
Asanteni!
Tatizo la pili...... Bado sijaanza period ila kama wiki mbili zilzopita nilikutana na mume wangu sasa je,kuna uwezekano wa kuwa nimepata mimba??
Na je,kukutana na mume wangu kunaweza leta tatizo lolote kwa mtoto?
Asanteni!