Naomba msaada kwa tarehe hizi zipi ni za Mimba?

mawazoyangu

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2011
Posts
324
Reaction score
65
Salam wana jf Dokta.
Tafadhali ninaomba msaada taja hapo juu sina tatizo lolote pia si mtumiaji wa njia zozote za kupanga uzazi lakini tayari nina mtoto mmoja

Ni muda kidogo kama ninapojaribu mambo
huwa hola huenda labda nakosea tarehe husika
wanaojua siku sahihi naomba wanisaidie
pia tarehe za bleed ni kama zifuatazo hapa:-


16.10.2012

14.11.2012

12.12.2012

08.01.2013

05.02.2013

04.03.2013

02.04.2013

Hizi ndiyo tarehe za siku zangu lakini pia natanguliza shukrani kwa wote wataonishauri ili
mwezi huu nijaribu maana mtoto niliye nae ni wa Kike kama hata kuna namna ya kupata wa jinsia nyingine.
 
Vuta subira kidogo
Wataalam wanakuja kukufahamisha cha kufanya
na kwakuwa huna tatizo lolote nadhani uwe
na Imani pia Muombe Mungu sana kupitia ushauri wa Wataalam utapata jinsia nyingine.


Zingatia ushauri lakini Mungu ndiye muweza
wa mambo yote Omba sana na hatimaye hitaji
lako utalipata wengi wamefanikiwa kupitia JF.
 

Ngoja na mimi niungie za huyu ndugu yangu hapa.....nae yupo katika michakato ya kumleta kiumbe mpya duniani...

11.10.2012

08.11.2012

04.12.2012

01.01.2013

28.01.2013

22.02.2013

23.03.2013

Msaada please...

Ahsanteni sana...
The Magnificent
 
Ahaaaaaa, kumbe unataka mtoto, nakushauri gonga kiduku mfululizo mwezi mzima, hiyo siku utaikamatishia humohumo.
Anyway, sio mtaalamu sana, subiri wataalamu waje.
 
Madokta mje mtoe msaada kwa mwana jf.
 
Bibie.@mawazoyangu ukitaka kupata mimba jaribu kufanya mapenzi kuanzia Tarehe 13/04 /2013 mpaka Tarehe 17/04 /2013 utapata mimba ukifanya hizo tarehe mapenzi usikose kuja kunipa feedback.

Mkuu gody tunajitahidi kuwasaidia watu kwa ushauri lakini wakisha fanikiwa huwa hawaji kutupa Feedback wanatuvunja nguvu tutakwenda mwisho hatutakuja kuwapa tena misaada yetu ya mawazo si unawajuwa Wa-Danganyika hawana shukrani.
 
Ngoja na mimi niungie za huyu ndugu yangu hapa.....nae yupo katika michakato ya kumleta kiumbe mpya duniani...

11.10.2012

08.11.2012

04.12.2012

01.01.2013

28.01.2013

22.02.2013

23.03.2013

Msaada please...

Ahsanteni sana...
The Magnificent
Mkuu The Magnificent Mwambie huyo mwanamke afanye mapenzi kuanzia Tarehe Apr - 10 mpaka 13 atashika mimba inshallah.
 
Last edited by a moderator:
Hello Mawazoyangu!

Je hizo tarehe ni tarehe za kuanza hedhi au ni tarehe ulizo maliza hedhi? Ni muhimu kujua hilo katika kukusaidia Pia kwa wastani mzungunguko wa hedhi (average length of your cycle) ni siku ngapi? eg. 28, 30 32 etc
 
Mzee mzizi mkavu cha muhimu wambie waanze kuhesabu siku ya 11 baada ya kuziona siku zake. Mtoto wa kiume anapatikana kwanzia siku ya 11 hadi ya 15 kwa wakike anapatika kuanzia siku anayo maliza kuziona cku zake. Nawatakia maandalizi mema ya mtoto wenu.
 
Ninavyofahamu siku za kushika mimba ni kama ifuatavyo,siku ya kumi na moja baada ya hedhi,12,13,14,15,16 na 17.Hizo zote zinauwezekano wa kushika mimba lakini siku ya 14 uwezekano ni mkubwa zaidi.
 
Ninavyofahamu siku za kushika mimba ni kama ifuatavyo,siku ya kumi na moja baada ya hedhi,12,13,14,15,16 na 17.Hizo zote zinauwezekano wa kushika mimba lakini siku ya 14 uwezekano ni mkubwa zaidi.
 

Wakuu wote nawashukuru kwa ushauri wenu
mzuri mambo yatakavyokwenda nitarejea
kutoa mrejesho nyuma kama mambo
yamefanikiwa/laa!

Tuko pamoja.
 
Hello Mawazoyangu!

Je hizo tarehe ni tarehe za kuanza hedhi au ni tarehe ulizo maliza hedhi? Ni muhimu kujua hilo katika kukusaidia Pia kwa wastani mzungunguko wa hedhi (average length of your cycle) ni siku ngapi? eg. 28, 30 32 etc

Mkuu tarehe zote hizo ni siku ninapoingia MP
kwa kila mwezi na vinginevyo.
 
Ninavyofahamu siku za kushika mimba ni kama ifuatavyo,siku ya kumi na moja baada ya hedhi,12,13,14,15,16 na 17.Hizo zote zinauwezekano wa kushika mimba lakini siku ya 14 uwezekano ni mkubwa zaidi.

Mkuu sgukrani
Nitaleta majibu.
 

mzizimkavu hapa umekosea kidogo sijajua umetumia formula gani.
Anyway haya tumekuwa tukielezea mara kwa mara wakati mwingine tuwkumbushe wawe wanakwenda Jf store.
Sasa ukiangalia huyu dada anamzunguko wa siku 28, ili upate danger days au siku za kupata mimba tunatumia kanuni. Coz kumbuka kuna mizunguko ya aina tatu mrefu siku 35, kati siku 28 na mfupi siku 21.
Sasa formula chukua namba ya mzunguko tuseme Y, chukua Y gawanya kwa 2: Y/2 = X kupata siku za mimba zinapoanza chukua
X-5=, kupata siku za hatari zinapoishia chukua X+3=
kwa mzunguko mrefu
Y= 35, 35/2= 18, X= 18,
siku za kuanzia 18-5= 13,
siku za kumaliza 18+3= 21.
Huyu mwenye mzunguko mrefu siku za kupata mimba ni kati ya siku ya 13 hadi siku 21. Reference point ni tangu unapoanza bleeding. Yaani siku ya kuanza bleeding ndo utaanza kuhesabu moja.
Kwa mzunguko wa kati,
Y=28, 28/2= 14,
siku za kuanza 14-5=9,
siku ya kumaliza siku za hatari 14+3=17
kwa kuwa huyu ndo subject wetu bleeding alianza tar 2 ambayo ndo reference point, ukihesabu kuanza tar 2 siku ya 9 inaangukia tarehe 10th April, na inaishia tarehe 18 April. Kwa hiyo siku za kupata mimba ni kati ya tarehe 10 hadi tarehe 18 April. Mbali na hayo hapa mwanaume katika siku ambazo hazihusiki msifanye mapenzi na wala asitoke nje ya ndoa ili kuzipa muda sperm zikomae vema na pia atumie natural protein kwa wingi kama samaki, njegere, maharage mahindi mboga mboga na matunda na vinavyofanana na hivyo.
Kwa huo mzunguko mfupi nawapa home work mtanipm majibu
asanteni sana
 
Wakuu wote nawashukuru
Nitaleta majibu baada kufuata ushauri
mzuri mlionipatia.
 

Mkuu asante
majibu nitaleta baada kutekeleza ulichosema
nifuate.
 
Mlioomba ushauri nendeni taratibu
kufanyia kazi mliyoshauriwa pia feedback
muhimu sana ili wataalam wajiridhishe
kwa kile walichoshauri.

Pia nanyi mtakuwa msaada kwa wengine
JF store nadhani hawa wanaoomba ushauri
tuwasamehe bure huenda wengine
vifaa wanavyotumia kuingia hapa
Pia utaalam labda hawana sana

Goodlucky.
 
Asante mupiricon kwa taarifa nzuri, lakini kwa sisi ambao mizunguko yetu haipo kwenye mafungu hayo matatu uliyotaja tunafanyaje maana kwa mfano mimi mtiriko wangu wa siku mwaka jana ulikuwa hv 10.01.2012,
03.02.2012,
22.03.2012
16.04.2012
Nikajikuta nimepata ujauzito sasa nina mtoto na nimeanza kupata MP 27.03.2013 naomba unisaidie nijue siku hatari hapa maana huyu binti bado mchanga nikiteleza nitamtesa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…