mawazoyangu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 324
- 65
Salam wana jf Dokta.
Tafadhali ninaomba msaada taja hapo juu sina tatizo lolote pia si mtumiaji wa njia zozote za kupanga uzazi lakini tayari nina mtoto mmoja
Ni muda kidogo kama ninapojaribu mambo
huwa hola huenda labda nakosea tarehe husika
wanaojua siku sahihi naomba wanisaidie
pia tarehe za bleed ni kama zifuatazo hapa:-
16.10.2012
14.11.2012
12.12.2012
08.01.2013
05.02.2013
04.03.2013
02.04.2013
Hizi ndiyo tarehe za siku zangu lakini pia natanguliza shukrani kwa wote wataonishauri ili
mwezi huu nijaribu maana mtoto niliye nae ni wa Kike kama hata kuna namna ya kupata wa jinsia nyingine.
Tafadhali ninaomba msaada taja hapo juu sina tatizo lolote pia si mtumiaji wa njia zozote za kupanga uzazi lakini tayari nina mtoto mmoja
Ni muda kidogo kama ninapojaribu mambo
huwa hola huenda labda nakosea tarehe husika
wanaojua siku sahihi naomba wanisaidie
pia tarehe za bleed ni kama zifuatazo hapa:-
16.10.2012
14.11.2012
12.12.2012
08.01.2013
05.02.2013
04.03.2013
02.04.2013
Hizi ndiyo tarehe za siku zangu lakini pia natanguliza shukrani kwa wote wataonishauri ili
mwezi huu nijaribu maana mtoto niliye nae ni wa Kike kama hata kuna namna ya kupata wa jinsia nyingine.