Naomba msaada Luxury Buses kutoka Dar kwenda Kigoma

Naomba msaada Luxury Buses kutoka Dar kwenda Kigoma

kuna kipindi nilipanda bus la kigoma nilikua naenda Tabora lile bas balaa sana kunguni mende panya mpaka nashuka tabora abiria watatu siti za nyuma walipotea kuna konda alisema sijui wameliwa na chatu yan lile busi kiboko alafu nikaambiwa hilo ndio luxury kuna mengine mpaka fisi wamo nakushauri kama uko soft sana bora upande tu ndege kigoma hakuna luxury
Daaaaah!!!!!!!!!
 
kuna kipindi nilipanda bus la kigoma nilikua naenda Tabora lile bas balaa sana kunguni mende panya mpaka nashuka tabora abiria watatu siti za nyuma walipotea kuna konda alisema sijui wameliwa na chatu yan lile busi kiboko alafu nikaambiwa hilo ndio luxury kuna mengine mpaka fisi wamo nakushauri kama uko soft sana bora upande tu ndege kigoma hakuna luxury
Apande NBS mpaka Tabora then apande NBS ya Kigoma.
 
Kitu kama huna uhakika nacho bora kukaa kimya tu kuliko kuleta ujuaji usio na maana,,Kigoma luxury zipo basi za Saratoga nauli ni 80k,na Adventure 100k Ina leather seat,full ac,huduma ya chakula na vinywaji kiufupi ni kali sana so usipotoshe
Siyo Luxury ni Semi Luxury
 
Kigoma luxury ipo..uliza Basi za IFOLa...Kuna 6 tunza luxury Kwa laki130,000

Kama ilivyo boti za Azam , wametanganisha Siti za luxury Na kawaida...nenda urafiki uliza IFOLa bas kwenda Kigoma utaoneshwa
 
Kitu kama huna uhakika nacho bora kukaa kimya tu kuliko kuleta ujuaji usio na maana,,Kigoma luxury zipo basi za Saratoga nauli ni 80k,na Adventure 100k Ina leather seat,full ac,huduma ya chakula na vinywaji kiufupi ni kali sana so usipotoshe
Hakuna luxury hapo hiyo ni semi luxury
 
kuna kipindi nilipanda bus la kigoma nilikua naenda Tabora lile bas balaa sana kunguni mende panya mpaka nashuka tabora abiria watatu siti za nyuma walipotea kuna konda alisema sijui wameliwa na chatu yan lile busi kiboko alafu nikaambiwa hilo ndio luxury kuna mengine mpaka fisi wamo nakushauri kama uko soft sana bora upande tu ndege kigoma hakuna luxury
Exaggeration of the facts
 
Kitu kama huna uhakika nacho bora kukaa kimya tu kuliko kuleta ujuaji usio na maana,,Kigoma luxury zipo basi za Saratoga nauli ni 80k,na Adventure 100k Ina leather seat,full ac,huduma ya chakula na vinywaji kiufupi ni kali sana so usipotoshe
Mjibu basi anaeuliza...mqoute aone akate hayo mabus
 
Nyie mbona mnanitisha
Mkuu nenda ukipanda VIP una enjoy nime experience gari zote ......ukipanda Saratoga ya 60,000 ya saa Kumi na mbili utakutana na visanga nilikosa VIP hiyo siku natoka kigoma Nina haraka kwanza VIP huko watu wako classic hakuna kuombana charge wala kuongea ovyo ........nikakosa nikapanda hii ya 60000 ***** .......humo ndan Niko na juice mtoto analia mama ake Ana kwambia nipe hiyo mwanangu Ana tumiaga, mtoto au mtu Ana kula Kila kitu huko mahindi ,ufuta,karanga kuku tumbo Lina Anza wakiona choooo watu Wana shangilia ..........ukipanda VIP hakuna mambo gari za elfu 60 mtu wa Siti ya nyuma Ana piga story na mtu wa mbele Kwa dereva
 
Kitu kama huna uhakika nacho bora kukaa kimya tu kuliko kuleta ujuaji usio na maana,,Kigoma luxury zipo basi za Saratoga nauli ni 80k,na Adventure 100k Ina leather seat,full ac,huduma ya chakula na vinywaji kiufupi ni kali sana so usipotoshe
Sahihi mkuuu Kuna Aifola ya Alfajiri VIP nauli laki moja huduma nzur huduma ya chakula Iko humo ndani mnapewa kutokana na nauli zenu
 
Adventure na Saratoga ila sio luxury
Ziko Luxury mkuuu Saratoga Ana mikwaju mikali sana namba E ahaaaa zikichoka sana zinaenda ruti ya ziwani kule kalyia huko mbali kinomaaaa mipakani mwa Kongo nauli 15000
 
kuna kipindi nilipanda bus la kigoma nilikua naenda Tabora lile bas balaa sana kunguni mende panya mpaka nashuka tabora abiria watatu siti za nyuma walipotea kuna konda alisema sijui wameliwa na chatu yan lile busi kiboko alafu nikaambiwa hilo ndio luxury kuna mengine mpaka fisi wamo nakushauri kama uko soft sana bora upande tu ndege kigoma hakuna luxury
Wewe ulipanda ' Ungo' sio basi.
 
Back
Top Bottom