Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,025
- 2,261
Wakuu, nawasalimu kwa jina la JMT.
Nimeingia Dar, takribani miezi 3 iliopita nikitokea Mtwara baada ya kufunga biashara yangu Mtwara MC
Uchumi umeshuka kwa kasi na ninaelekea kupoteza mtaji, hadi natamani kujinyonga.
Nimejaribu biashara mtandaoni nimeishia kuchata na watu, eg mtu anauliza bei wakati bei ipo, mtu anakuja inbox anataka kuona mzigo, yupo Bukoba, km 3,000.
Ninaomba msaada ni wapi naweza kupata fremu Kariakoo, preferably mtaa wa Mchikichi na Swahili.
Biashara yangu kubwa, au nilioiozea ni kuuza women hand bags ( WHBs), yaani mikopa ya akina mama. Wholesale and retail sales.
Nawasilisha
Nimeingia Dar, takribani miezi 3 iliopita nikitokea Mtwara baada ya kufunga biashara yangu Mtwara MC
Uchumi umeshuka kwa kasi na ninaelekea kupoteza mtaji, hadi natamani kujinyonga.
Nimejaribu biashara mtandaoni nimeishia kuchata na watu, eg mtu anauliza bei wakati bei ipo, mtu anakuja inbox anataka kuona mzigo, yupo Bukoba, km 3,000.
Ninaomba msaada ni wapi naweza kupata fremu Kariakoo, preferably mtaa wa Mchikichi na Swahili.
Biashara yangu kubwa, au nilioiozea ni kuuza women hand bags ( WHBs), yaani mikopa ya akina mama. Wholesale and retail sales.
Nawasilisha