swahibu ramadhani
Member
- Apr 30, 2021
- 49
- 28
- Thread starter
-
- #21
Shukrani sana [emoji120][emoji120][emoji120]haya anza kwa kila unachotaka kusema humu au kuuliza kwa kingereza..., kujua lugha ni kuiongea na kuitumia tu hakuna lingine pia soma vitabu na karne ya sasa nenda youtube lazima kuna tutorials
Ni wewe tu mkuu PM iko wazi 24/7Napataje msaada wako mkuu.
Mkuu kuvipata vyenyewe ni ixhu sana. Kama unaweza kunifanyia connection ingependeza mkuu.Mkuu unakwama wapi?
Mbona Arusha kuna wataalamu wengi sana wa Lugha tena wa kimataifa.
Kuna kipindi nilikutana na wale jamaa wanaosindikiza wazungu/tour guides aisee jamaa ni hatari wanagonga ngeli ile original ya British na America.
Nilipowahoji mmejifunzia wapi waliniambia kuna vituo vingi kuna watu wanafundisha.
Kama una rafiki yeyote anafanya kazi za utalii muulize atakuelekeza.
Hapo ingebidi usemeShukrani sana [emoji120][emoji120][emoji120]
Aisee ukimpata nijumuishe kwenye darasa nitachangia nauli ya mwalimu... Maana hiki kilugha nikiongea mwenyewe kinatoa ushirikiano shida nilitaka kuongea na mtu hapo kinanikataa kabisa....Najua nimeeleweka hapo juu. Shida yangu kuu niupande wa lugha ya kingereza ndo nakwama sana. Naomba msaada wenu tafadhali. Wakuu.
Mimi sikai Arusha nilienda tu mara moja,hauna hata jirani anafanya kazi ya utaliiMkuu kuvipata vyenyewe ni ixhu sana. Kama unaweza kunifanyia connection ingependeza mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]basi sawa mkuu tuko pamoja.Aisee ukimpata nijumuishe kwenye darasa nitachangia nauli ya mwalimu... Maana hiki kilugha nikiongea mwenyewe kinatoa ushirikiano shida nilitaka kuongea na mtu hapo kinanikataa kabisa....
Sina Mkuu.Mimi sikai Arusha nilienda tu mara moja,hauna hata jirani anafanya kazi ya utalii
Ww binafsi itakuwa haujui English. Tour guides wapi? Asilimia kubwa ya tour guides Tanzania English language proficiency is very poor. Mimi niko nao mara kwa mara. Yani wanaunga unga tu.. na tatizo au uzuri hawajui wanakosea. Ni nzuri sababu inawapa confidence, ila ni mbaya sababu hawaoni umuhimu wa ku-improve.Mkuu unakwama wapi?
Mbona Arusha kuna wataalamu wengi sana wa Lugha tena wa kimataifa.
Kuna kipindi nilikutana na wale jamaa wanaosindikiza wazungu/tour guides aisee jamaa ni hatari wanagonga ngeli ile original ya British na America.
Nilipowahoji mmejifunzia wapi waliniambia kuna vituo vingi kuna watu wanafundisha.
Kama una rafiki yeyote anafanya kazi za utalii muulize atakuelekeza.
Kwanini mkuu. Ni cheki WhatsApp Kwa 0622744175Fursa hii sasa, sema uko mbali[emoji198]
Mkuu msaada wako.Ww binafsi itakuwa haujui English. Tour guides wapi? Asilimia kubwa ya tour guides Tanzania English language proficiency is very poor. Mimi niko nao mara kwa mara. Yani wanaunga unga tu.. na tatizo au uzuri hawajui wanakosea. Ni nzuri sababu inawapa confidence, ila ni mbaya sababu hawaoni umuhimu wa ku-improve.
Tanzania, English language proficiency ni majanga haswaa.Dungu = Ndugu, anyway tupo wengi tunaohitaji hii kitu
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Nicheki tuyajengeNjoo na dau lako pm nikupige msasa chap chap. Nina notsi zote, Location Kambi ya Fisi.
Nichek pmNicheki tuyajenge
[emoji106][emoji120]Nichek pm
Ndo hivyo mkuu Sasa tutafanyeje.Tanzania, English language proficiency ni majanga haswaa.
Wewe ulikaa na tour guides wa kampuni gani hiyo?Ww binafsi itakuwa haujui English. Tour guides wapi? Asilimia kubwa ya tour guides Tanzania English language proficiency is very poor. Mimi niko nao mara kwa mara. Yani wanaunga unga tu.. na tatizo au uzuri hawajui wanakosea. Ni nzuri sababu inawapa confidence, ila ni mbaya sababu hawaoni umuhimu wa ku-improve.