Naomba msaada ndugu zangu JF, nipate mwalimu wa kunifundisha lugha ya kingereza cha kuongea na kuandika

Naomba msaada ndugu zangu JF, nipate mwalimu wa kunifundisha lugha ya kingereza cha kuongea na kuandika

Pumbavu ww. Unafikiria kumpiga mtu mzima makofi? Ndio maana nikasema ww ni illiterate. Hautathubutuu. Yani kitu nitakufanya kabla haujanyanyua huo mkono wako UTAJUTA KUZALIWA. Fala mkubwa na mbwa koko ww.
Sasa kama una bichwa zito nikufanyaje?Chagua adhabu inayowafaa watu wenye ulemavu wa ubongo kama wewe.
Hujui na hujui kama hujui.
Mwenzako nimetembea na kukaa na raia wa nchi karibu zote duniani na nikiishi ugenini nainasa lugha ya sehemu husika chapchap wewe bado unajigamba na kiingereza chako uchwara.
Huko nilishahama tangu miaka ya tidini huko.
 
Kula bata ni lugha ya kihuni ya mtaani na si kiswahili sanifu.
Na kama unasema mtu na hela zangu ni maneno ya mtaani si kosa langu kutafsiri vile bali kosa ni la kwako kuchanganya lugha sanifu na lugha za mtaani.
Wewe mwalimu wako alikuwa na kazi nzito sana ilifaa ulipie ada mara 2 ya wengine.
Ilboru Secondary School Kipaji Maalum Form IV Class of 1998. Then Form V Kibaha, ila nikapata scholarship USA hata form V sikusoma Tz. BSc, MBA, PhD zote with the highest disctinctions. Tena ujue wazungu nilikuwa nawashinda sana in English writing ya essays etc. Sometimes hata niliongoza darasa pamoja na kwamba nilizaliwa Tz.
Na sihitaji ku-validate myself to you. You are a worthless piece of shit. Lakini nakuonyesha tu jinsi ulivyo mpumbavu.
 
Nani kasema waTz wote? Ww si ulisema Tz hatuongei English. Unaandika kwa kuropoka tu.
Ndio watanzania Lugha yetu ni Kiswahili.
Kuna nchi ndani ya Africa lugha ya Taifa ni kiingereza na raia wote wanazungumza kiingereza.
Ila kwa vile unakurupuka kama mwanamke aliyefumaniwa hukuelewa.
 
Ndio watanzania Lugha yetu ni Kiswahili.
Kuna nchi ndani ya Africa lugha ya Taifa ni kiingereza na raia wote wanazungumza kiingereza.
Ila kwa vile unakurupuka kama mwanamke aliyefumaniwa hukuelewa.
Na uelewe vijana wanakosa opportunity nyingi sana za kujiajiri sababu ya kutojua English na Computer. Tayari umeshapewa capital (mbuga za wanyama). Vijana wanachohitaji ni computer skills ili wafanye marketing online na good language skills pia. Hilo nimeliona Tz. Yani wanakosa opportunity na utalii ambao ungewezesha wengi sana unawezesha wachache tu. Magari nk.. mtu anaweza kukodi tu.
 
Asante mkuu. Huyu jamaa kajitakia mwenyewe. Ngoja dose imuingie vizuri.
But you can make it in a better way and bring more positivity, me too I would like to learn and am pretty sure I ain't alone so by using nice and kind-hearted words many people will come.
 
Wakati watu tumeishi na wazungu? Naheshimu tu JF, kwa hio sitakurudishia. Ila Ole wako nikufahamu halafu tukutane siku moja. Utalia machozi [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unaniringishia kukaa na wazungu?
Mwenzako nimekaa na watu wa kabila zote duniani.
Najua kuanzia tabia zao,lugha zao so mbali na mambo ya lugha ubongo wangu umetanuka sana kwenye mambo ya saikolojia.
Ukianza tu kuongea najua unaelekea wapi coz nimekutana na wajinga kama 1000 hivi wa aina yako kwenye matembezi yangu,so huniumizi kichwa.
 
Unajisema ww. Hujui na hujui kwamba hujui 😂😂😂😂
Sasa kama una bichwa zito nikufanyaje?Chagua adhabu inayowafaa watu wenye ulemavu wa ubongo kama wewe.
Hujui na hujui kama hujui.
Mwenzako nimetembea na kukaa na raia wa nchi karibu zote duniani na nikiishi ugenini nainasa lugha ya sehemu husika chapchap wewe bado unajigamba na kiingereza chako uchwara.
Huko nilishahama tangu miaka ya tidini huko.
 
Na uelewe vijana wanakosa opportunity nyingi sana za kujiajiri sababu ya kutojua English na Computer. Tayari umeshapewa capital (mbuga za wanyama). Vijana wanachohitaji ni computer skills ili wafanye marketing online na good language skills pia. Hilo nimeliona Tz. Yani wanakosa opportunity na utalii ambao ungewezesha wengi sana unawezesha wachache tu. Magari nk.. mtu anaweza kukodi tu.
Hakuna kitu sijui aisee.
Huko kwenye utalii nilishazama vilevile.
Ilivyokuja Corona sekta ya utalii ilikuwa ni ya kwanza kufa kifo cha mende nikarukia fani nyingine chap,wakati watu wa utalii wanalialia hali mbaya mimi nimejificha kwenye chaka lingine nawachora tu.
Niko multipurpose mzee usikariri maisha utaangukia pua.
 
Ndio watanzania Lugha yetu ni Kiswahili.
Kuna nchi ndani ya Africa lugha ya Taifa ni kiingereza na raia wote wanazungumza kiingereza.
Ila kwa vile unakurupuka kama mwanamke aliyefumaniwa hukuelewa.
Mkuu kama maneno mazuri yapo kwanini tutumie mabaya? Natamani kuona hekima iliyo ndani yako na ikuongoze vyema... Huu mjadala ni chachu nzuri sana ya kujifunza but kutofautiana kwenu kunafanya mnatoka nje ya mada na kutusiana wich is not healthy for the topic.
 
Mkuu kama maneno mazuri yapo kwanini tutumie mabaya? Natamani kuona hekima iliyo ndani yako na ikuongoze vyema... Huu mjadala ni chachu nzuri sana ya kujifunza but kutofautiana kwenu kunafanya mnatoka nje ya mada na kutusiana wich is not healthy for the topic.
Huyo jamaa alinianza kunishobokea nilikuwa naongea na mtu mwingine akavamia.
So mimi kawaida yangu mtu akinianza huwa namaliza.
 
Talk to your guy mbu ya dengue. He started this argument in a malodorous way, and I am not going to let anybody disrespect me. Anyway, I am signing off. If you argue with a fool, you will also look foolish; I am better than that, so I am out!.

But you can make it in a better way and bring more positivity, me too I would like to learn and am pretty sure I ain't alone so by using nice and kind-hearted words many people will come.
 
Hakuna kitu sijui aisee.
Huko kwenye utalii nilishazama vilevile.
Ilivyokuja Corona sekta ya utalii ilikuwa ni ya kwanza kufa kifo cha mende nikarukia fani nyingine chap,wakati watu wa utalii wanalialia hali mbaya mimi nimejificha kwenye chaka lingine nawachora tu.
Niko multipurpose mzee usikariri maisha utaangukia pua.
Argue with yourself! I am signing off because "if you argue with a fool, you will also look foolish," and I am better than that. Therefore, I am out!. I have better things to do.
 
Talk to your guy mbu ya dengue. He started this argument in a malodorous way, and I am not going to let anybody disrespect me. Anyway, I am signing off. If you argue with a fool, you will also look foolish; I am better than that, so I am out!.
That was only caused your arrogance and insanity as well.
But this should be a lesson to you the impact of teasing anonymous people.
 
Talk to your guy mbu ya dengue. He started this argument in a malodorous way, and I am not going to let anybody disrespect me. Anyway, I am signing off. If you argue with a fool, you will also look foolish; I am better than that, so I am out!.
Thanks for understanding and position your self as special person so that others can can see the special in you!! That's true definition of mental maturity. Thumbs up
 
Huyo jamaa alinianza kunishobokea nilikuwa naongea na mtu mwingine akavamia.
So mimi kawaida yangu mtu akinianza huwa namaliza.
I hope its over as you said broh!! changes that seem small and
unimportant at first will compound into remarkable results if you’re
willing to stick with them for years... Thanks for let it go.
 
Back
Top Bottom