Naomba msaada ndugu zangu JF, nipate mwalimu wa kunifundisha lugha ya kingereza cha kuongea na kuandika

Naomba msaada ndugu zangu JF, nipate mwalimu wa kunifundisha lugha ya kingereza cha kuongea na kuandika

Kama upo Arusha, na unataka kujua Kiingereza safi kabisa, basi nenda pale "British Council" kajiunge na course yao ya Kiingereza.

Pale utafundishwa lugha na waalimu wa Kiingereza wenyewe, ukitoka hapo utaongea kama Boris Johnson, labda kichwa chako kiwe kizito.

Nimekuwekea link yao hiyo :
Basi Mkuu
 
Nilisema..
Continous manake ni kila siku. I don't walk...
Kama unataka kuandika sentensi ya kitendo cha sasa ungeandika..
"I am not walking to my workplace because my mother is murdered."
Halafu eti unasema is murdered.. ni continous. Mtu anaweza kuwa murdered kila siku? Anauawa.. anafufuka.. anauawa.. anafufuka. Ndio nikakuambia ukiandika in English lazima context iwe logical. Na ndio hapo kusema eti "is murdered" inaweza kuwa continous kila siku ni umbumbumbu wa hali ya juu.
Mtu akifa huwa anakufa milele wewe kilaza,ulishawahi kuona mtu amekufa sasa hivi tu kisha kesho akarudi?
Mtu akishakufa ni continuous hiyo coz miaka yote atabaki kuwa marehemu.
 
What does your personal wealth have to do with this topic? Andika Kiswahili tu.
Ulijisifu una pesa na mimi nikataja pesa kwenye reply,ungetaja utajiri na mimi ningetaja utajiri kwenye reply.
Refer source ya comment yangu sio unabwabwaja tu ili uonekane unajua kumbe ni kilaza tu.
Money ni kitu kingine na wealth ni kitu kingine hatuwezi kuyachanganya hayo maneno
 
Kuna tofauti kubwa ya kiingereza anachoongea mtu ambaye ni lugha ameikuta na ambaye ameingia darasani kusoma. Kiingereza cha nigeria cha "You dey bust my brain" ni kigumu kukielewa hata kwa ambaye anajiona kaiva kiingereza.
Kwahiyo hapa tunatumia kiingereza kipi?
 
Nchi yetu hatuongei kiingereza.
Wewe jifunze tu kwa ajili ya kuandikia report ukiwa kazini au ukipatwa na ugeni wa ghafla ofisini itakusaidia kujilinda.
So stupid. Tourism sector inachangia ajira nyingi sana as well as national GDP. To succeed in tourism, one must be fluent in English language.
 
So stupid. Tourism sector inachangia ajira nyingi sana as well as national GDP. To succeed in tourism, one must be fluent in English language.
You are rubbish.
Unakurupuka kujibu bila kuelewa.
Kwani watu wote humu tunafanya kazi za utalii?
Kama wewe kazi yako ni utalii kitumie ukiwa kazini kwako ndicho nilichosema hapo,ukiingia uswahilini kuanza kuongea kiingereza chako watu watakuona mwehu.
 
Kwani wewe unanijua mimi?Ni nani asiye na hela zake?Wewe nakuona idiot tu na limbukeni mmoja.
What has your private money to do with this topic?
Hio sentensi ni MBOVU SANA. Tatizo lako unatafsiri moja kwa moja Swahili to English. Mtu akisema "Mimi ni mtu na hela zangu".. In English hauwezi kutafsiri eti I am a person with private money". Hakuna kitu kama hicho. Mtu na Hela zangu in English unatafsiri An individual with extreme wealth.
 
Una mental problems ww. Nenda mental hospital wakakucheki. You are not normal 😂😂😂


You are rubbish.
Unakurupuka kujibu bila kuelewa.
Kwani watu wote humu tunafanya kazi za utalii?
Kama wewe kazi yako ni utalii kitumie ukiwa kazini kwako ndicho nilichosema hapo,ukiingia uswahilini kuanza kuongea kiingereza chako watu watakuona mwehu.
 
Hio sentensi ni MBOVU SANA. Tatizo lako unatafsiri moja kwa moja Swahili to English. Mtu akisema "Mimi ni mtu na hela zangu".. In English hauwezi kutafsiri eti I am a person with private money". Hakuna kitu kama hicho. Mtu na Hela zangu in English unatafsiri An individual with extreme wealth.
wealth ni collection ya various assets haiwezi kuwa pesa pekee.
Tatizo lako kuna mtu alikukaririsha ikakufanya ushindwe kutumia akili yako vizuri(spoon feeding)
 
Tatizo lenu mnatafsiri Swahili to English directly. Mfano in Swahili unasema "Nipo nakula bata".. In English kwani utatafsiri kuandika eti "I am eating duck?" Ila ww ulivyo mbovu, sitashangaa ukitafsiri hivyo.😂😂😂. Mtu na hela zangu ni "Swahili slang" haimaanishi cash au money only. inamaanisha tajiri mwenye assets kama real estate, motor vehicles, stocks, and savings as well. Na hizo ni wealth au utajiri.

Ulijisifu una pesa na mimi nikataja pesa kwenye reply,ungetaja utajiri na mimi ningetaja utajiri kwenye reply.
Refer source ya comment yangu sio unabwabwaja tu ili uonekane unajua kumbe ni kilaza tu.
Money ni kitu kingine na wealth ni kitu kingine hatuwezi kuyachanganya hayo maneno
 
wealth ni collection ya various assets haiwezi kuwa pesa pekee.
Tatizo lako kuna mtu alikukaririsha ikakufanya ushindwe kutumia akili yako vizuri(spoon feeding)
Ndio nimekuandikia hapo juu. Isome sasa ujifunze kitu leo.
 
Una mental problems ww. Nenda mental hospital wakakucheki. You are not normal [emoji23][emoji23][emoji23]
Huwezi kunielewa mpaka tuwe karibu nikupige makofi.
Nchi ya Kenya raia wote hadi vijijini huko wanazungumza kiingereza,wewe unaleta habari za utalii ambao unafanyika kwenye mikoa 3 tu Tanzania.
Haya tupige hesabu kwenye watanzania 60mil ni watanzania wangapi wanafanya kazi kwenye utalii?
The number is almost negligible.
 
Translating English to Swahili, una-focus kwenye context sababu ya slangs za lugha.
wealth ni collection ya various assets haiwezi kuwa pesa pekee.
Tatizo lako kuna mtu alikukaririsha ikakufanya ushindwe kutumia akili yako vizuri(spoon feeding)
 
Huwezi kunielewa mpaka tuwe karibu nikupige makofi.
Nchi ya Kenya raia wote hadi vijijini huko wanazungumza kiingereza,wewe unaleta habari za utalii ambao unafanyika kwenye mikoa 3 tu Tanzania.
Haya tupige hesabu kwenye watanzania 60mil ni watanzania wangapi wanafanya kazi kwenye utalii?
The number is almost negligible.
😂😂😂. Utalii ni 17% ya Tanzania GDP. Leo utaelimika tu.
 
Pumbavu ww. Unafikiria kumpiga mtu mzima makofi? Ndio maana nikasema ww ni illiterate. Hautathubutuu. Yani kitu nitakufanya kabla haujanyanyua huo mkono wako UTAJUTA KUZALIWA. Fala mkubwa na mbwa koko ww.
Huwezi kunielewa mpaka tuwe karibu nikupige makofi.
Nchi ya Kenya raia wote hadi vijijini huko wanazungumza kiingereza,wewe unaleta habari za utalii ambao unafanyika kwenye mikoa 3 tu Tanzania.
Haya tupige hesabu kwenye watanzania 60mil ni watanzania wangapi wanafanya kazi kwenye utalii?
The number is almost negligible.
 
Tatizo lenu mnatafsiri Swahili to English directly. Mfano in Swahili unasema "Nipo nakula bata".. In English kwani utatafsiri kuandika eti "I am eating duck?" Ila ww ulivyo mbovu, sitashangaa ukitafsiri hivyo.[emoji23][emoji23][emoji23]. Mtu na hela zangu ni "Swahili slang" haimaanishi cash au money only. inamaanisha tajiri mwenye assets kama real estate, motor vehicles, stocks, and savings as well. Na hizo ni wealth au utajiri.
Kula bata ni lugha ya kihuni ya mtaani na si kiswahili sanifu.
Na kama unasema mtu na hela zangu ni maneno ya mtaani si kosa langu kutafsiri vile bali kosa ni la kwako kuchanganya lugha sanifu na lugha za mtaani.
Wewe mwalimu wako alikuwa na kazi nzito sana ilifaa ulipie ada mara 2 ya wengine.
 
Back
Top Bottom