mps
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 406
- 584
Habari wanajamvi, mwaka jana 2023 mwezi wa 3 nilianza kupata dalili ambazo sikuzielewa km vile; Kuvimba miguu, tumbo kuuma nk.
Ikabidi niende Amana hospital ambapo nilipima vipimo kadhaa ie, Moyo, Figo na Ini. Majibu yalipotoka ilionekana ini lina shida kutokana na enzymes ya AST (SGOT) kuwa juu sana kuliko inavyotakiwa kuwa lkn alipopima homa ya ini B ilisoma negative. Hivyo Dr aliyeniattend akaniandikia dawa/ Supplement zinaitwa LIVOLIN FORTE nitumie kwa muda wa mwezi mmoja kisha nirudi kucheki km AST imeshuka.
Nikafanya hivyo so niliporudi kucheki AST level ilikuwa imeshuka kutoka 51 hadi 48, Dr akaniambia niendelee kutumia miezi mingine mitatu mbele hadi AST ishuke kbs hadi <34.
Nikazingatia na niliporudi kucheki nikakuta AST level imeshuka hadi 36, Dr akasema umishapona na kweli zile dalili sikuwa nazisikia wala kuziona tena.
Lkn mwaka huu mwezi wa 3 nimeanza kuona na kusikia dalili zilezile za mwanzo, ikabidi nirudi tena Amana hospital na kupima Liver function test, majibu ni yaleyale AST level ni 36 ALT level iko normal na zile protini zingine ziko level. Dr akaniandikia tena LIVOLIN FORTE nitumie mwezi mmoja kisha nikae miezi mingine miwili ndo nirudi kucheki.
Lkn wakuu pamoja na kutumia hizi FORTE bado napata maumivu makali upende wa kulia wa juu wa tumbo lilipo Ini.
Sijui hata nifanyeje ndugu zangu msaada tafadhali.
Ikabidi niende Amana hospital ambapo nilipima vipimo kadhaa ie, Moyo, Figo na Ini. Majibu yalipotoka ilionekana ini lina shida kutokana na enzymes ya AST (SGOT) kuwa juu sana kuliko inavyotakiwa kuwa lkn alipopima homa ya ini B ilisoma negative. Hivyo Dr aliyeniattend akaniandikia dawa/ Supplement zinaitwa LIVOLIN FORTE nitumie kwa muda wa mwezi mmoja kisha nirudi kucheki km AST imeshuka.
Nikafanya hivyo so niliporudi kucheki AST level ilikuwa imeshuka kutoka 51 hadi 48, Dr akaniambia niendelee kutumia miezi mingine mitatu mbele hadi AST ishuke kbs hadi <34.
Nikazingatia na niliporudi kucheki nikakuta AST level imeshuka hadi 36, Dr akasema umishapona na kweli zile dalili sikuwa nazisikia wala kuziona tena.
Lkn mwaka huu mwezi wa 3 nimeanza kuona na kusikia dalili zilezile za mwanzo, ikabidi nirudi tena Amana hospital na kupima Liver function test, majibu ni yaleyale AST level ni 36 ALT level iko normal na zile protini zingine ziko level. Dr akaniandikia tena LIVOLIN FORTE nitumie mwezi mmoja kisha nikae miezi mingine miwili ndo nirudi kucheki.
Lkn wakuu pamoja na kutumia hizi FORTE bado napata maumivu makali upende wa kulia wa juu wa tumbo lilipo Ini.
Sijui hata nifanyeje ndugu zangu msaada tafadhali.