Naomba Msaada. Nifanyeje ili niweze kupona ini?

Naomba Msaada. Nifanyeje ili niweze kupona ini?

mps

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
406
Reaction score
584
Habari wanajamvi, mwaka jana 2023 mwezi wa 3 nilianza kupata dalili ambazo sikuzielewa km vile; Kuvimba miguu, tumbo kuuma nk.

Ikabidi niende Amana hospital ambapo nilipima vipimo kadhaa ie, Moyo, Figo na Ini. Majibu yalipotoka ilionekana ini lina shida kutokana na enzymes ya AST (SGOT) kuwa juu sana kuliko inavyotakiwa kuwa lkn alipopima homa ya ini B ilisoma negative. Hivyo Dr aliyeniattend akaniandikia dawa/ Supplement zinaitwa LIVOLIN FORTE nitumie kwa muda wa mwezi mmoja kisha nirudi kucheki km AST imeshuka.

Nikafanya hivyo so niliporudi kucheki AST level ilikuwa imeshuka kutoka 51 hadi 48, Dr akaniambia niendelee kutumia miezi mingine mitatu mbele hadi AST ishuke kbs hadi <34.

Nikazingatia na niliporudi kucheki nikakuta AST level imeshuka hadi 36, Dr akasema umishapona na kweli zile dalili sikuwa nazisikia wala kuziona tena.

Lkn mwaka huu mwezi wa 3 nimeanza kuona na kusikia dalili zilezile za mwanzo, ikabidi nirudi tena Amana hospital na kupima Liver function test, majibu ni yaleyale AST level ni 36 ALT level iko normal na zile protini zingine ziko level. Dr akaniandikia tena LIVOLIN FORTE nitumie mwezi mmoja kisha nikae miezi mingine miwili ndo nirudi kucheki.

Lkn wakuu pamoja na kutumia hizi FORTE bado napata maumivu makali upende wa kulia wa juu wa tumbo lilipo Ini.

Sijui hata nifanyeje ndugu zangu msaada tafadhali.
 
Habari wanajamvi, mwaka jana 2023 mwezi wa 3 nilianza kupata dalili ambazo sikuzielewa km vile; Kuvimba miguu, tumbo kuuma nk.

Ikabidi niende Amana hospital ambapo nilipima vipimo kadhaa ie, Moyo, Figo na Ini. Majibu yalipotoka ilionekana ini lina shida kutokana na enzymes ya AST (SGOT) kuwa juu sana kuliko inavyotakiwa kuwa lkn alipopima homa ya ini B ilisoma negative. Hivyo Dr aliyeniattend akaniandikia dawa/ Supplement zinaitwa LIVOLIN FORTE nitumie kwa muda wa mwezi mmoja kisha nirudi kucheki km AST imeshuka.

Nikafanya hivyo so niliporudi kucheki AST level ilikuwa imeshuka kutoka 51 hadi 48, Dr akaniambia niendelee kutumia miezi mingine mitatu mbele hadi AST ishuke kbs hadi <34.

Nikazingatia na niliporudi kucheki nikakuta AST level imeshuka hadi 36, Dr akasema umishapona na kweli zile dalili sikuwa nazisikia wala kuziona tena.

Lkn mwaka huu mwezi wa 3 nimeanza kuona na kusikia dalili zilezile za mwanzo, ikabidi nirudi tena Amana hospital na kupima Liver function test, majibu ni yaleyale AST level ni 36 ALT level iko normal na zile protini zingine ziko level. Dr akaniandikia tena LIVOLIN FORTE nitumie mwezi mmoja kisha nikae miezi mingine miwili ndo nirudi kucheki.

Lkn wakuu pamoja na kutumia hizi FORTE bado napata maumivu makali upende wa kulia wa juu wa tumbo lilipo Ini.

Sijui hata nifanyeje ndugu zangu msaada tafadhali.
Fuata ushauri wa dr, urudi baada muda uliopewa. Ila uliza pia mitishamba.
Una una umri gan
 
Pole sana mkuu kwanza nenda hospital kubwa zaidi ingawa hata Amana ni kubwa.
Ongea na Dr akwambie chanzo kilikuwa ni Nini!?
Pia penda kujua kama Kuna dawa Bora zaidi ya hiyo unayotumia.
Usihofu sana wakati mwingine ugonjwa huja ghafla ila kuondoka ni taratibu
Binafsi nakuombea upone uwe mzima pole sana
 
Habari wanajamvi, mwaka jana 2023 mwezi wa 3 nilianza kupata dalili ambazo sikuzielewa km vile; Kuvimba miguu, tumbo kuuma nk.

Ikabidi niende Amana hospital ambapo nilipima vipimo kadhaa ie, Moyo, Figo na Ini. Majibu yalipotoka ilionekana ini lina shida kutokana na enzymes ya AST (SGOT) kuwa juu sana kuliko inavyotakiwa kuwa lkn alipopima homa ya ini B ilisoma negative. Hivyo Dr aliyeniattend akaniandikia dawa/ Supplement zinaitwa LIVOLIN FORTE nitumie kwa muda wa mwezi mmoja kisha nirudi kucheki km AST imeshuka.

Nikafanya hivyo so niliporudi kucheki AST level ilikuwa imeshuka kutoka 51 hadi 48, Dr akaniambia niendelee kutumia miezi mingine mitatu mbele hadi AST ishuke kbs hadi <34.

Nikazingatia na niliporudi kucheki nikakuta AST level imeshuka hadi 36, Dr akasema umishapona na kweli zile dalili sikuwa nazisikia wala kuziona tena.

Lkn mwaka huu mwezi wa 3 nimeanza kuona na kusikia dalili zilezile za mwanzo, ikabidi nirudi tena Amana hospital na kupima Liver function test, majibu ni yaleyale AST level ni 36 ALT level iko normal na zile protini zingine ziko level. Dr akaniandikia tena LIVOLIN FORTE nitumie mwezi mmoja kisha nikae miezi mingine miwili ndo nirudi kucheki.

Lkn wakuu pamoja na kutumia hizi FORTE bado napata maumivu makali upende wa kulia wa juu wa tumbo lilipo Ini.

Sijui hata nifanyeje ndugu zangu msaada tafadhali.
Pole sana ndugu yangu. Kwanza kabisa usi-panick kwani kuugua ni jambo la kawaida kwa sisi binadamu. AST kuwa juu inaonyesha pengine una tatizo kwenye ini. Kwa hiyo kitu cha kuzingatia, ni kwenda kwa dr bingwa afanye diagnosis ya liver kuona una tatizo gani. Ni vigumu kujua linaweza kuwa tatizo gani bila dr kukufanyia vipimo.
 
Habari wanajamvi, mwaka jana 2023 mwezi wa 3 nilianza kupata dalili ambazo sikuzielewa km vile; Kuvimba miguu, tumbo kuuma nk.

Ikabidi niende Amana hospital ambapo nilipima vipimo kadhaa ie, Moyo, Figo na Ini. Majibu yalipotoka ilionekana ini lina shida kutokana na enzymes ya AST (SGOT) kuwa juu sana kuliko inavyotakiwa kuwa lkn alipopima homa ya ini B ilisoma negative. Hivyo Dr aliyeniattend akaniandikia dawa/ Supplement zinaitwa LIVOLIN FORTE nitumie kwa muda wa mwezi mmoja kisha nirudi kucheki km AST imeshuka.

Nikafanya hivyo so niliporudi kucheki AST level ilikuwa imeshuka kutoka 51 hadi 48, Dr akaniambia niendelee kutumia miezi mingine mitatu mbele hadi AST ishuke kbs hadi <34.

Nikazingatia na niliporudi kucheki nikakuta AST level imeshuka hadi 36, Dr akasema umishapona na kweli zile dalili sikuwa nazisikia wala kuziona tena.

Lkn mwaka huu mwezi wa 3 nimeanza kuona na kusikia dalili zilezile za mwanzo, ikabidi nirudi tena Amana hospital na kupima Liver function test, majibu ni yaleyale AST level ni 36 ALT level iko normal na zile protini zingine ziko level. Dr akaniandikia tena LIVOLIN FORTE nitumie mwezi mmoja kisha nikae miezi mingine miwili ndo nirudi kucheki.

Lkn wakuu pamoja na kutumia hizi FORTE bado napata maumivu makali upende wa kulia wa juu wa tumbo lilipo Ini.

Sijui hata nifanyeje ndugu zangu msaada tafadhali.
Kafanye Vipimo Vya Ultrasound au kama Ukiweza zaidi fanya CT scan ya Liver ,Billiary tract na Hata gallBladder..
Na pia Usisahau Kupima KUB USS..

Kama AST level Iko Normal huenda unaweza ukawa na Gallstones,Acute Cholecystitis Biliary Colic au Acute Pancreatitis..

Maybe Lets check on Biliary Obstruction signs..


Unatapika??
Choo kina Rangi gani??
MKojo una Rangi Gani??
Unawashwa mwili??
Choo kina muonekano wa Mafuta mafuta au ni kama mafuta Kilaini sana??
Tumbo linapoa kwa Dawa za kunywa za maumivu??

na Tumbo linauma Sana wakati gani ukila Vyakula vya mafuta Linakuaje??
 
Pole sana mkuu kwanza nenda hospital kubwa zaidi ingawa hata Amana ni kubwa.
Ongea na Dr akwambie chanzo kilikuwa ni Nini!?
Pia penda kujua kama Kuna dawa Bora zaidi ya hiyo unayotumia.
Usihofu sana wakati mwingine ugonjwa huja ghafla ila kuondoka ni taratibu
Binafsi nakuombea upone uwe mzima pole sana
Sawa, ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom