princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Hukupewa masharti yoyote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuuPole sana ndugu yangu. Kwanza kabisa usi-panick kwani kuugua ni jambo la kawaida kwa sisi binadamu. AST kuwa juu inaonyesha pengine una tatizo kwenye ini. Kwa hiyo kitu cha kuzingatia, ni kwenda kwa dr bingwa afanye diagnosis ya liver kuona una tatizo gani. Ni vigumu kujua linaweza kuwa tatizo gani bila dr kukufanyia vipimo.
daaaa pole mkuu pombe nisumu Tena usipo kunywa japo supu inakaanga maini mkuu usinywe kuanzia leoPombe mara moja moja kwa mwaka naweza kunywa mara moja au mbili
Niitaka kushauri hivyo lakini pia awe makini na matumizi ya baadhi ya dawadaaaa pole mkuu pombe nisumu Tena usipo kunywa japo supu inakaanga maini mkuu usinywe kuanzia leo
1. Mkojo ni wa njano sanaKafanye Vipimo Vya Ultrasound au kama Ukiweza zaidi fanya CT scan ya Liver ,Billiary tract na Hata gallBladder..
Na pia Usisahau Kupima KUB USS..
Kama AST level Iko Normal huenda unaweza ukawa na Gallstones,Acute Cholecystitis Biliary Colic au Acute Pancreatitis..
Maybe Lets check on Biliary Obstruction signs..
Unatapika??
Choo kina Rangi gani??
MKojo una Rangi Gani??
Unawashwa mwili??
Choo kina muonekano wa Mafuta mafuta au ni kama mafuta Kilaini sana??
Tumbo linapoa kwa Dawa za kunywa za maumivu??
na Tumbo linauma Sana wakati gani ukila Vyakula vya mafuta Linakuaje??
Ondoa hofu utakuwa sawa, Kwani kuna dawa za muda mrefu unazitumia?Nilishaacha toka niambiwe nina hii shida
pombe isipo kusababishia ugonjwa wa ini basi sukari inakuhusuNiitaka kushauri hivyo lakini pia awe makini na matumizi ya baadhi ya dawa
So most Likely Ni Obstruction Kafanye vipimo Ndugu yangu Sana sana USS au CT scan..1. Mkojo ni wa njano sana
2. Kinyesi ni brown hakina mafuta
3. Maumivu ni wakati wowote tu yanakuja na kupotea.
4. Kutapika hapana ila napata kichefuchefu sometimes.
Kwahiyo dokta uwezekano wa kupona upo sio?So most Likely Ni Obstruction Kafanye vipimo Ndugu yangu Sana sana USS au CT scan..
Maana inaonekana Dalili la Cholecystitis na Obstruction zipo.Japo Ni Early signs
Sawa ahsante. Nadhani napaswa kurudi Amani wanipe rufaa ya Muhimbili nikaonane na Daktari Bingwa.So most Likely Ni Obstruction Kafanye vipimo Ndugu yangu Sana sana USS au CT scan..
Maana inaonekana Dalili la Cholecystitis na Obstruction zipo.Japo Ni Early signs
Ondoa shaka kabisa Uwezekano Upo na ni Mkubwa kabisaKwahiyo dokta uwezekano wa kupona upo sio?
Amani unamaanisha amani ya wapi??Sawa ahsante. Nadhani napaswa kurudi Amani wanipe rufaa ya Muhimbili nikaonane na Daktari Bingwa.
Dah haya magonjwa, sasa dakatari alikwambia inasababishwa na Nini?Sawa ahsante. Nadhani napaswa kurudi Amani wanipe rufaa ya Muhimbili nikaonane na Daktari Bingwa.