Naomba Msaada. Nifanyeje ili niweze kupona ini?

Da umefanya siku yangu iishe vizuri sana. Mungu ni mkubwa. Japo sikujui lakini huwa nikisia binadamu mwenzangu anakumbwa na tatizo kama ulilokuwa umeambiwa unalo huwa najisikia vibaya mno. Ila kweli Bongo nyoso. N nini kilikuwa kimetokea mwanzoni? Sitaki kumlaumu sana huyo dr kwani hata vipimo vya maabara Bongo wakati mwingine huwa fyongo.
 
Mungu ni mwema, hospital izi ndogo zinaua watu nimegundua,hayo madawa waliyokupa kumbe hayakuwa na haja kabisa
 
Duuh ni hatari sana
 
Ila unaweza Kuta Dr Hana tatizo Bali tatizo limetengenezwa na watu wa vipimo I e maabara na vipimo vya kumulika kama ultrasound, x ray nk hao ndio nahisi wamemuingiza chaka Daktar kupitia majibu ya hivyo vipimo.
Yes hii inawezekana pia
 
Dawa zipo. Kama na wewe una matatizo ya Ini au mengine ya kiafya, njoo PM nitakuelekeza dawa. Karibu sana.
Wazee wa fursa mshatia timu.. 😅

Weka mambo hadharani kama walivyofanya wadau wengine, wewe huko uchochoroni unataka kumfanya nini mwenzio!?
 
Unaweza ukathibitisha pasipo shaka kuwa mimi ni tapeli? Nimemwita aje PM ili tuwasiliane kwa njia ya simu. Unapoongea na mgonjwa na kumsikiliza ni rahisi kujua tatizo lake kuliko kusoma alichokiandika.

Acha ujinga wa kuwaita watu matapeli wakati huwajui. Nimekutapeli nini Mbweha wewe?

 
Wazee wa fursa mshatia timu.. 😅

Weka mambo hadharani kama walivyofanya wadau wengine, wewe huko uchochoroni unataka kumfanya nini mwenzio!?
Tiba ni biashara. Ukienda hospital yoyote ile utalipa ili utibiwe. Mimi nafanya biashara ya TIBA. Sasa siwezi kuweka matangazo yangu hadharani bila kuyalipia. Ukija PM tunaongea nakusikilza na nakupatia tiba. Yes, upo sahihi. Hii ni fursa kwetu sisi watoa tiba mbadala.😀
 
Hii ina tofauti gani na kupiga ramli..?
Wakati mwingine kutegemea na mazingira, upatikanaji wa vipimo na kiwango cha utaalamu wa mtaalamu. Daktari wa Amana amefanya kutokana na uwezo na mazingira yake ashukuriwe.
 
Wakati mwingine kutegemea na mazingira, upatikanaji wa vipimo na kiwango cha utaalamu wa mtaalamu. Daktari wa Amana amefanya kutokana na uwezo na mazingira yake ashukuriwe.
Sahihi kbs, kwa level yake na hospital anayofanyia kazi hakuwa na cha ziada
 
A
IA zipi hizo,can you mention few of them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…